Wakuu nimefanya research ndogo na kugundua kwamba kuna mwanamuziki moja tu anayeishi maisha yasiyo ya maigizo kama wenzake wanaoshinda wakiazima magari,nguo ,simu,viatu. Huyu anaishi maisha halisi naye ni K 4 REAL.
Bila shaka wakuu mnakubaliana nami hapa.
jibu ni NDIYO