Huyu ndiye mwanamuziki anayeishi maisha halisi, sio kuigiza igiza


Kama anaishi maisha yake halisi, basi angetumia jina lake halisi kwny utambulisho wake kisanii...K 4 Real =?
 
Hivi ni lazima umchukie Ali Kiba ndio uweze kumpenda Diamond? Nauliza tuu jmn.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya aliye oa na mzinifu. Aliye oa lazima nyumbani aache unga ndio maana baadhi ya wasanii waishia kug.ongwa kisa madeni

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…