Huyu ndiye mwanamuziki anayeishi maisha halisi, sio kuigiza igiza

Huyu ndiye mwanamuziki anayeishi maisha halisi, sio kuigiza igiza

Km anaimba good music je ana tuzo ngapi za international level je alishawahi pata hata nomination katika tuzo yoyote outside east Africa

Hivi wewe unajua tunachoongelea hapa au unaongea tu kama umekurupushwa usingizini?
 
No research No right to speak... Hebu ulete huo mjengo wa gharama hapa tuuone

Wewe nae hebu tutokee hapa.Wewe unaingia JF kwa msimu utajijua mwenyewe, picha zilishawekwa huku nyingi tu kama hukuwepo usituchose sie.
 
Wabongo ni wanafki sana.. Mlianza kumsifia Juma nature kisa usela mavi wake wa kushinda vijiweni na wana ila ikafika kipindi nyie nyie mkasema Msanii inatakiwa awe kisanii ...mkaanza kumponda Juma kassim kiroboto..

Baada ya Anguko la Juma nature akatokea mtu ambaye anajiweka kisanii na kila kitu mlichokosa kwa Juma nature ... Mnasema Anaishi maisha ya kuigiza.....woooot...!!!


Wabongo haohao mliomkosoa Juma nature kwa Maisha yake ya kawaida at the same time mnamsifia kiba kwa vigezo mlivyokataa kwa Nature....

Kuna vitu vingine inabidi tu theory ya Res ipsa loquitor itumike....
 
Wewe nae hebu tutokee hapa.Wewe unaingia JF kwa msimu utajijua mwenyewe, picha zilishawekwa huku nyingi tu kama hukuwepo usituchose sie.

Picha za mapagale.... Inaonekana unamiliki server za JF kiasi kwamba unajua naingia JF mara ngapi kwa mwaka
 
Huyu msanii wenu yupo so local toka anza kufanya mziki n mwaka wa 10 sasa ata kupata nomination channel O ajapata halafu mnasema ana jua mziki

Soma vizur ndipo uchangie acha haraka
 
hamjui tu familia yake yoote ye ndo kichwa sasa akianza.kuleta ubishow anajua tu mapaparazi wataanza.kutafuta cha zaidi maana hajafika lever za usuperstar yule ni star tuu!!
 
Picha za mapagale.... Inaonekana unamiliki server za JF kiasi kwamba unajua naingia JF mara ngapi kwa mwaka

Hivi wewe el nino uingie JF usionekane wewe? Kwanza utaanza na thread za kumpamba huyo domo wako.Looohh bora mwingine ajitetee sio wewe.
 
Last edited by a moderator:
Scandal anazo sana kuzaa watoto kila mmoja na mama yake
Afu fununu anatoka na Jojo ( joketi )
Kama ameamua ni maisha yake mwenyewe sie tunataka mziki mzuri
 
Hivi wewe el nino uingie JF usionekane wewe? Kwanza utaanza na thread za kumpamba huyo domo wako.Looohh bora mwingine ajitetee sio wewe.

Acha kujifanya mnajimu...
 
Last edited by a moderator:
Scandal anazo sana kuzaa watoto kila mmoja na mama yake
Afu fununu anatoka na Jojo ( joketi )
Kama ameamua ni maisha yake mwenyewe sie tunataka mziki mzuri

Anatamani sana maisha ya kuandikwa ila tatizo hadhira haitaki habari zake
 
skendo hazimpi mtu show za nje mwambieni na mwana atafute skendo aone kama.zinalipa afu ninyi mashabiki wa allykiba mnampa wakati mgumu sana kaka wa watu alishajikatia kipande chake cha tamaa akatulia nacho sasa ninyi mnampa kingine aanze kuhangaika kama anavofanya saivi!!!
 
Wabongo ni wanafki sana.. Mlianza kumsifia Juma nature kisa usela mavi wake wa kushinda vijiweni na wana ila ikafika kipindi nyie nyie mkasema Msanii inatakiwa awe kisanii ...mkaanza kumponda Juma kassim kiroboto..

Baada ya Anguko la Juma nature akatokea mtu ambaye anajiweka kisanii na kila kitu mlichokosa kwa Juma nature ... Mnasema Anaishi maisha ya kuigiza.....woooot...!!!


Wabongo haohao mliomkosoa Juma nature kwa Maisha yake ya kawaida at the same time mnamsifia kiba kwa vigezo mlivyokataa kwa Nature....

Kuna vitu vingine inabidi tu theory ya Res ipsa loquitor itumike....

Kwahiyo Kiba ni msela mavi? Kwani kuishi kisanii ni kutafuta scandal yoyote ili mradi tu usikike mjini hapa?

Kiba anaishi kisanii, hapendi kick za kijinga, mziki wake mzuri ndio kick kwake!
 
Back
Top Bottom