Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio yeye sema hako katoto kanatafuta kiki tu
basi atakua ana recover kwa arv taratibu taratibuNi yeye mkuu.halafu hako sio katoto...mdada wa alievuka 27
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah mkuu mi simobasi atakua ana recover kwa arv taratibu taratibu
Zile za Kanumba huwezi kuita movies, zile ni kibisa tu.
Siyo yeye.
Nimemuuliza Wema kaniambia siyo yeye.
Kwenye simu.
Cheka.
Dah chura hamna kabisa
Mungu hakupi vyote
Nlimpenda sana baada ya kumuona kwenye ile movie ya kanumba ya lost twins..alivoigiza na mvuto wake.
Tulitarajia tungekuja kumuona kwenye movie nyingine lakini kimya.
Hata hivo sio vibaya ukimkumbuka na kupenda kumuona tena..kimbembe ni hapo nnapomuona tena baada ya miaka zaidi ya kumi aisee.
Wengi wakimwangalia wanadai sio yeye,ni mwanae au mdogo wake huyu.
Yeye kafariki miaka mingi.
Lakini yeye anakanusha hilo..na anakwreka na hizo shutuma za kuzushiwa kufa.
Maswali unayopata ukimwangalia
Inawezekana mdada mtu mzima kuwa na nyonga pana vile halafu urudi chini na kuwa kama mtoto anaekimbiza balehe?hata kama unafanya weight loss sio hivi.
Pia ni zaidi ya miaka kumi imepita tangu aigize ile movie..ukikadiria umri aliokya nao kipindi kile ni kama miaka 20+10 na zaidi=?
Vitu vinavyofanya niamini kuwa ni yeye ni jinsi alivo..sura ni ile ile.vidimpozi ni
She is above 18,utakutana nae anadrive kwenye shopping malls..
Mi hata sielewi
View attachment 1065992View attachment 1065993View attachment 1065994View attachment 1065995View attachment 1066001View attachment 1066002View attachment 1066000View attachment 1065999View attachment 1066003View attachment 1066004View attachment 1066005
Sent using Jamii Forums mobile app