Huyu ndiyo Diamond, ukimuacha anakula shoga yako kwanza

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,378
Reaction score
56,047
Ngoja nipunguze stress za kupotea Mo dewji (nampenda sana huyu jamaa)na kuuguza miye humu jf
Aliachwa Aunty,Akala Wema mahaba yakawa km yotee wakagombana akaenda kutoka na jokate enzi hizo Wema na jokate mashosti,ushosti ukaisha....mpk akaenda kumchamba Jokate kwa Zamaradi Wema alienda na Uwoya siku hyooo...


Akamtema Jokate akarudi kwa Wema tena akamla Uwoya mpk shigongo akawapiga picha za hotel waliyolala...Ushoga ukafa kati ya Wema na Uwoya...

Mondi akaona haitoshi akamuacha Wema akaja kumla Penny ambae na Wema walikua wanavaa Sare sare ushosti kama wote..ndio enzi hizo IG inaanza Penny ndo binti wa kwanza kutukanwa kwenye mitandao ya kijamii kama sikosei kwa sababu ya bwana na ndo mambo ya team yakaanza wakaachana mondi akarudi kwa Wema tena walienda kurudiana Chinaaa picha zikavujaa...Penny akaumacha mondi ...mwishowe sasa ushoga ukafa....!!!!
Alivyoachana na Wema akaja kwa Zari

Kwa Zari akamla Huddah,huddah na Zari ushoga ukafa...huku anamla hamissa,officiallylin na tunda(japo hawana ushoga na Zari)

Zari kamtema akawa na Hamissa kw hamissa katemwa anamla shoga ake hamissa anaitwa kimnana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kimnana ndo shemela mpya kwa diamond kwa sasa na familia yaonekana imempitisha rasmi!!!!!

Sijajua anaonaga nini kwa mashemeji zake mpk awe anawala jamaniii!!!

Haya sasa nasubiri team sasa zianze matusi!!!
 
Maisha ni kuchagua
 
Ngoma ikivuma sana .......
Ila familia ya diamond huwa wanasaport mwanzo, wakiona umeshaanza kumfaidi ndugu yake wanaanza chuki. Sijui ni nini kinawasumbua.
Nasubiria kuona team mpya inaundwa japo sidhani kama hayo mahusiano yatakuwa habar ya mjini.

Vipi gari ya Lynn? Ilikuwa kiki sio?
 
Huwa siamini kama Aunty alitoka na mond.

Naona ujamtaja Wolper hapo!!

Hako ka Kimnana kana body kalii
Aunty katoka na mondi,wolper kapita pia mpk Wema akasemaga wengine hata Xmas 3 mjini hawana ila wanajifanya kuiba mabwana za watu[emoji23][emoji23][emoji16]!!!!aunty katembelewa shostiii....acha wengine anonymous!!!!!

Off courses kimnana ana body sura japo sura yake ya kawaida..mi nakapenda sioni sababu ga kukachukia hata kidogo...!!maana hamissa kashamuacha dai..nashangaa hizi timu zamtukana etiii
 
Sijawai ona familia kama ile...aiseehhh

Haina maadili jamani uzinzi kwao ni furaha....hapana kwa kweli hata mwaingiza pesaa..
Ngoja tuone team mpya maana si kwa matusi ya chinichini Yale yanaoyoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…