Huyu ndiyo Diamond, ukimuacha anakula shoga yako kwanza

Unadhani Diamond anafanya umalaya kwa bahati mbaya?... anachofanya ni kusambaza shoti za umeme .... Siku watu wakimshtukia ni kilio nchi nzima
Kabisa kwa mtu anayejali afya yake asingekuwa anatembeza rungu hovyo hovyo kama anavyofanya Dai maana nimeona kuna dada alikuwa anahojiwa kwamba alikuwa na dai kwa siku mbili kesho yake akamuacha akachukua demu mwingine yaani dai anatembeza rungu tu kama comrade kipepe.
 
Mbaya zaidi jamaa anawala TIGO kashawaharibu wengi sana viraparapa.
 
Diamond akija kukuomba penzi ww utamnyima?!
 
 
Nasikia eti wanawake wanapenda sana hela....
inawezekana maana mpaka mtu anasema hivyo anauzoefu na huo uzoefu mtu anaupata kwa watu wa karibu labda ameona kwa mama yake mzazi , dada yake shangazi yake au bibi yake mke wake au binti yake si rahisi kuongelea usichokijua
 
inawezekana maana mpaka mtu anasema hivyo anauzoefu na huo uzoefu mtu anaupata kwa watu wa karibu labda ameona kwa mama yake mzazi , dada yake shangazi yake au bibi yake mke wake au binti yake si rahisi kuongelea usichokijua
Kila kitu kina ukomo wake, ukipitaliza ukomo kitu kinaharibika.

Hawa wanaopenda sana hela, wapende ila wawe na mipaka hasa kwenye namna za kuzitafuta.
 
Dah kumbe Diamond katuwakilisha vyema kimataifa; Zari, Huddah, Avril (huyu mtoto namuelewa) wote kapita?[emoji51]
 
ngoja awale hata wewe ungekuwa na ukwasi kama yeye ungewala tuu shemeji hawanaga noma, ukimwambia ntakufanyia kama yule rafiki yako wanasema ni wewe tuuu
 
Halafu hata ndomu inaonesha hatumii ndo maana alikuwa anasema kina Wema na Penny walitoa mimba yake, just imagine 'mlupo' kama Wema unauza mechi...
 
Hapo tatizo sio huyo jamaa,_tatizo ni hao wanaokubali kuliwa wakati wakijua ni shemeji shemeji,,,
Inaonesha wanakuwa wanatamani ila fursa inakosa
Kwahiyo wanajisikia huru anapoondoka waliyemuogops. Saa nyingine walikuwa mashoga ila walikuwa wakimuonea wivu kwa jinsi wanawake mlivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…