Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kaka nakubali Mimi ni mbaya haswaa...!!nakubali wala sijabisha..mwili wangu kama sanamu la Michelin[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huyo wa kwenye ID ni wewe ambaye miguu imekaa kushoto tupu ,changanya na huo mwili wako kama boksi ataanzaje kukupenda ??,si itakuwa kihoja cha mwaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Una mwili mbaya sana, kiuno na tumbo havijulikani vipo wapi, yani vimekusanyana kama tenga la nyanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badili tu hiyo avatar unajichoresha sana na huo mwili kama pipa.Sawa kaka...sina hadhi Mimi!!!nakubali!
Kua na amani tuuu!!!
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] wala sibadili nshajikubali Mimi...!!!ahsante kwa hizo sifa....Mwenyezimungu anasema ameumba mwanadamu ktk umbile lililo bora kabisaa...najivunia kwa hiloo!!Una mwili mbaya sana, kiuno na tumbo havijulikani vipo wapi, yani vimekusanyana kama tenga la nyanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badili tu hiyo avatar unajichoresha sana na huo mwili kama pipa.
Huo ndio ukweli japo mchungu, ukiona mtu anakusifia ,jua fika anakung'ong'a .Sawa kaka nakubali Mimi ni mbaya haswaa...!!nakubali wala sijabisha..mwili wangu kama sanamu la Michelin[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimestuka hapo AKAMLA Irene UWOYA ............Huyu Uwoya si ndie anayesemwa alitembea na Jamaa aliyefariki kwa NGOMA?Ngoja nipunguze stress za kupotea Mo dewji (nampenda sana huyu jamaa)na kuuguza miye humu jf
Aliachwa Aunty,Akala Wema mahaba yakawa km yotee wakagombana akaenda kutoka na jokate enzi hizo Wema na jokate mashosti,ushosti ukaisha....mpk akaenda kumchamba Jokate kwa Zamaradi Wema alienda na Uwoya siku hyooo...
Akamtema Jokate akarudi kwa Wema tena akamla Uwoya mpk shigongo akawapiga picha za hotel waliyolala...Ushoga ukafa kati ya Wema na Uwoya...
Mondi akaona haitoshi akamuacha Wema akaja kumla Penny ambae na Wema walikua wanavaa Sare sare ushosti kama wote..ndio enzi hizo IG inaanza Penny ndo binti wa kwanza kutukanwa kwenye mitandao ya kijamii kama sikosei kwa sababu ya bwana na ndo mambo ya team yakaanza wakaachana mondi akarudi kwa Wema tena walienda kurudiana Chinaaa picha zikavujaa...Penny akaumacha mondi ...mwishowe sasa ushoga ukafa....!!!!
Alivyoachana na Wema akaja kwa Zari
Kwa Zari akamla Huddah,huddah na Zari ushoga ukafa...huku anamla hamissa,officiallylin na tunda(japo hawana ushoga na Zari)
Zari kamtema akawa na Hamissa kw hamissa katemwa anamla shoga ake hamissa anaitwa kimnana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kimnana ndo shemela mpya kwa diamond kwa sasa na familia yaonekana imempitisha rasmi!!!!!
Sijajua anaonaga nini kwa mashemeji zake mpk awe anawala jamaniii!!!
Haya sasa nasubiri team sasa zianze matusi!!!
Wala hakuna aliyenisifia sijakataa uliyosema nimekubali kila ulilosema hance sijabisha..[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najikubali nilivyo na umbo langu bayaHuo ndio ukweli japo mchungu, ukiona mtu anakusifia ,jua fika anakung'ong'a .
Ya kwangu ndio hayo , nimekuchana.Wala hakuna aliyenisifia sijakataa uliyosema nimekubali kila ulilosema hance sijabisha..[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najikubali nilivyo na umbo langu baya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ahsante kunipa ukweli usiogopee....kua na amani tuu!!Ya kwangu ndio hayo , nimekuchana.
Bahati nzuri siku hizi Gym zipo kila kona, nenda angalau ukapunguze kitambi hiko maana ni kichekesho.
Kama ni hivyo ni KAZEZE ni KAZEZE ilikuwa saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akiwa anaadhini allah akbar allah akbar akiwa anamaanisha mungu mkubwa mungu mkubwa.Kamla mpk hoteli waliyofikia na chumba tulionyeshwaq[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Ninakupa sifa mkuu..kwa kuonyesha ustarabu wa hali ya juu!..Angekuwa mwingine..moto ungewaka..na ban juu!..umeutendea haki u GT wako!..salute![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ahsante kunipa ukweli usiogopee....kua na amani tuu!!
Wala sendi gym ntabaki na tambi langu na mwili wangu mbayaa!!![emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuonyesha sina chuki na like nakupa
Uswahilini matola hao eehh!!au akina !!!Kama ni hivyo ni KAZEZE ni KAZEZE ilikuwa saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akiwa anaadhini allah akbar allah akbar akiwa anamaanisha mungu mkubwa mungu mkubwa.
Kijana mdogo mwenye kipato pili ana kibito TINTED mziki mzito alikuwa ana fujo jumamosi ya sabato...NI_KAZEZE.
His brotherhood told him to do so
Wala hakuna aliyenisifia sijakataa uliyosema nimekubali kila ulilosema hance sijabisha..[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najikubali nilivyo na umbo langu baya
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] wala sibadili nshajikubali Mimi...!!!ahsante kwa hizo sifa....Mwenyezimungu anasema ameumba mwanadamu ktk umbile lililo bora kabisaa...najivunia kwa hiloo!!
Sawa kaka nakubali Mimi ni mbaya haswaa...!!nakubali wala sijabisha..mwili wangu kama sanamu la Michelin[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemjibu kiupoleSawa kaka...sina hadhi Mimi!!!nakubali!
Kua na amani tuuu!!!
Sasa si unajipendekeza ,lakini ukweli umeupata.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ahsante kunipa ukweli usiogopee....kua na amani tuu!!
Wala sendi gym ntabaki na tambi langu na mwili wangu mbayaa!!![emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuonyesha sina chuki na like nakupa
Uswahilini matola hao eehh!!au akina !!!
GWM walioimbaa....[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]v