Huyu ndiyo Mwanaume wa Shoka: Aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya Geita afariki na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325

Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.

Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali mbalimbali nchini na Juni, 2024 akiwa anaendelea na matibabu Hospitali ya Kamanga iliyopo Jijini Mwanza, mauti yalimfika.

Alisema babu yake ameacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.

Ngoja nami pia sasa nishindane nae kwani mpaka sasa nikiwahesabu Tanzania na Nje wanafikia kama 13 au 15 fulani.
 
Hakuna watu wanaongoza kuendekeza ngono kama wanaume maskini! Na wanakamia kusema eti ni nature. Mxiew
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives "

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Hamfikiii Akuku the danger, alitengeneza vijiji vitatu ikiwa ni watoto wake tu, shule na zahanati
 
Hakuna watu wanaongoza kuendekeza ngono kama wanaume maskini! Na wanakamia kusema eti ni nature. Mxiew
Sio kuendekeza bwana wewe.
Sie tunatomber kwa sababu ndio starehe tunayomudu. Hatuna hela za kuweka dstv sijui azam tv wla kwenda sijui dubai. Umeme wenyewe laki tatu kuunganisha hatuna. Ikifika saa mbili wote tupo vyumbani utaachaje kutomber my wife.
 
Na mnavyojuaga lawama. Mnazaa kama kuku ila kulea kwa kaka zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…