Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
TibonaBabanza kwajura
Unaanza wewe matusi then unajitetea kauze mahindi uko humu hakuna mjinga mjinga wa kumuongopeaWewe ni wa kupuuza na kudharau tu, maana hata kuandika hujui!
Umebaki kutukana tu, ni dhahiri kuwa una fikra za kimaskini! Unataka nilete documentary hapa ndio uamini?
Kichwani wewe ni mweupe kabisa...
Hahaha Kumbe unakimanya mi nililenganisa tuNakushobokelwa wa taata....
Huna ujanja wowote bwana mdogo, in fact nimeshagundua wewe ni mtu wa aina gani!Unaanza wewe matusi then unajitetea kauze mahindi uko humu hakuna mjinga mjinga wa kumuongopea
Vyote vipo IlalaK, nakiskiaga hiki cha tsj cha Ilala, ndo mana nikauliza
Haha aya muuza mahindi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huna ujanja wowote bwana mdogo, in fact nimeshagundua wewe ni mtu wa aina gani!
Ni bora ukapambana na masomo yako maana kwa akili zako zilivyo hovyo utadisco... tu!!
Na pia tambua mahindi ninauza, na ninapata kila ninachohitaji kutokana na biashara hiyo, nitakukaribisha kama kibarua endapo utahitaji pale utakapohitimu (kama ukiacha umbumbumbu, maana usipoacha utafeli tu) nikupe walao ajira ya muda mfupi upate uzoefu wa maisha na jinsi ya kukabiliana na changamoto kadhaa kuliko kurudi kwa wazazi maana utawasababishia hasara tu...
Nini maana ya FAIDA? kwa hiyo ukiuza BIG G hakuna faida? au nyie ndo.wale mlio karirilishwa kwamba faida ni milioni ili iitwe faida.Weka ushahidi apa ukiambiwa wafanya biashara wanaofanikiwa sio ndio una generalize kwamba ata ukiuza BIG G utapata faida kuliko muajiriwa sihivyo kuna biashara zingine ambazo mtu anafanya ili aweze kuishi kwasababu ana alternative nyingine au ili aongeze mtaji tu wakufanya biashara kubwa mfano biashara ya kuuza mahindi sasa unaposema muuza maindi anapata 50,000/= kwa siku yaani kwa mwezi 1,500,000/= usitufanye atuna akili kiasi hiko mkuu
Unabishana na Mhanga wa Ajira? huyo hajui kama kuna maisha nje ya hapo anapo fanya kazi.Una akili fupi kama nlivyotangulia kusema, kwa kudai ushahidi...
Hivi hujui kuwa kuna muuza chipsi anayeuza 20,000 kwa siku na mwingine anauza 200,000 kwa siku?
Hata huyo muuza Big G unayemdharau kuwa hawezi kupata faida kuliko mwajiri ni kutokana na kuwa na akili finyu...
Biashara ni talanta, kama huna hiyo talanta hutoiweza...
Ujue wabongo ni watu wa ajabu.Wanaona kuchoma mahondi sio biashara ila still mahindi yananunuliwa, hizo karanga zinatafunwa.Huna ujanja wowote bwana mdogo, in fact nimeshagundua wewe ni mtu wa aina gani!
Ni bora ukapambana na masomo yako maana kwa akili zako zilivyo hovyo utadisco... tu!!
Na pia tambua mahindi ninauza, na ninapata kila ninachohitaji kutokana na biashara hiyo, nitakukaribisha kama kibarua endapo utahitaji pale utakapohitimu (kama ukiacha umbumbumbu, maana usipoacha utafeli tu) nikupe walao ajira ya muda mfupi upate uzoefu wa maisha na jinsi ya kukabiliana na changamoto kadhaa kuliko kurudi kwa wazazi maana utawasababishia hasara tu...
Asante mkuuComment za wahanga wa Kuajiriwa
Kwani kuna tatizo? kajaribu na anaingia kwenye orodha ya watu walio jaribu.NLIDHAN 70 KWA SAA AU SKU KUMBE WIKI?
Huyo dogo bado hata hajui maana ya ajira mkuu, anasumbuliwa na utoto na stori za vijiweni!Unabishana na Mhanga wa Ajira? huyo hajui kama kuna maisha nje ya hapo anapo fanya kazi.
Hata kama ingekuwa kwa mwaka ila kajaribu sana na ni progress kubwa sana kwake. Idea yake haiwezi kuwa yako. wewe unavyo viona ndo limit yako ila sio limit yake yeye.NLIDHAN 70 KWA SAA AU SKU KUMBE WIKI?
Dsj.Ivi kinaitwa tsj au dsj?
Comment ya mtu aliyeachiwa biashara na wazazi wakeComment za wahanga wa Kuajiriwa
Ujaelewa mada niniNini maana ya FAIDA? kwa hiyo ukiuza BIG G hakuna faida? au nyie ndo.wale mlio karirilishwa kwamba faida ni milioni ili iitwe faida.
Wewe unajua wenye viwanda vya pipi kwa.kila pipi wanapata faida ya sh ngapi
Haya ni maneno ya hawanga wa ajira wanao amini hakuna maisha bila kufabya kazi kwa mwanaume mwingine.