Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Kuweni makini Watanzania na Video kama hizi kwani inaweza ikawa ni mchezo wa kuwagombanisha Watanzania kwa kuiga masuala ya ugaidi yanayo endelea Duniani.

Hakuna ukweli wowote wa hii Video ni maneno ya mtu alie ficha sura yake na huenda ikawa ni Polisi wenyewe wanacheza mchezo huu ili tu waweze kuwapiganisha Watanzania kwa mgongo wa Dini kwani ndio unatumika zaidi na Wanasiasa Duniani.

Ukweli ni kwamba Tanzania inamatatizo ya kisiasa ila kwakuwa chama tawala kinaonekana kukosa nguvu hivo wanaweza kutumia mbinu yoyote kuwapotezea Watanzania kile wanacho kiamini kitaweza kuwaletea mabadilko.

Don't be brainwashed. Jihad is Islamic and is in the Jibric Quran.

Quran (9:14) - "Fight against them so that Allah will punish them by your hands and disgrace them and give you victory over them and heal the breasts of a believing people."

Humiliating and hurting non-believers not only has the blessing of Allah, but it is ordered as a means of carrying out his punishment and even "healing" the hearts of Muslims.


Bukhari (52:65) - The Prophet said, 'He who fights that Allah's Word, Islam, should be superior, fights in Allah's Cause. Muhammad's words are the basis for offensive Jihad - spreading Islam by force. This is how it was understood by his companions, and by the terrorists of today.

Bukhari (52:220) - Allah's Apostle said... 'I have been made victorious with terror'

Who do you think was the first terrorist?
 
Utashirikiana vipi na Jeshi la kigaidi? lililopo madarakani kwa ajili ya Kikwete rafiki zake na familia zao? hii ndio hasara yao, wangejua kuwa wanatuhitaji wote wangetu treat wote kwa haki ili wakati wa shida kama huu na sisi tuwe upande wao. labda kwa kuwa ni wa dini yao wao watapona, nimeona mapanga wanayotumia kuchinja watu kama kuku. Laanakum, wamelaniwa kwa namna zote, wao na hao wanaowafadhili, maana sasa wamewekwa peupe,
 
Don't be brainwashed. Jihad is Islamic and is in the Jibric Quran.

Quran (9:14) - "Fight against them so that Allah will punish them by your hands and disgrace them and give you victory over them and heal the breasts of a believing people."

Humiliating and hurting non-believers not only has the blessing of Allah, but it is ordered as a means of carrying out his punishment and even "healing" the hearts of Muslims.


Bukhari (52:65) - The Prophet said, 'He who fights that Allah's Word, Islam, should be superior, fights in Allah's Cause. Muhammad's words are the basis for offensive Jihad - spreading Islam by force. This is how it was understood by his companions, and by the terrorists of today.

Bukhari (52:220) - Allah's Apostle said... 'I have been made victorious with terror'

Who do you think was the first terrorist?

Kill Jesus.JPG

Those guys killed the only son of God, now god is alone ! :embarrassed1:
 
Atleast wanawaibia kisomi na wao pamoja na familia zao wanaishi vizuri. Sasa hawa wavuta bangi form4 tu wamefeli maisha yanawapiga wanaishia kujidai wafia dini. Nendeni shule mkasome kwa bidii otherwise tutawaendesha hadi mtembelee vichwa

..........Kafiri siku zote hajui 'Haki na Batili' !...........ndio maana sanamu anapewa uungu ! :A S-frusty2: Bufa
 
Last edited by a moderator:
MUHAMMAD AKIRI KUCHEZEWA NA SHETANI
1. Mtume Muhammad asema, Yesu hakuwai chezewa na Shetani.
2. Muhammad akiri kuwa, Waislam wote wanachezewa na kupulizwa matakoni na Shetani.
3. Muhamamd akiri kuwa Uislam ni Bandia.


Hebu tuanze kwa ushahidi kuhusu Yesu ambaye hakuchezewa na Shetani.


Hadith ya Bhukari Mwaminifu 4:506 kama ilivyo letwa kwenu na Abu Huraira:
Mtume Muhammad alisema, Binadamu yeyote yule anapo zaliwa, Shetani humgusa sehemu zote mbili za mwili wake kwa vidole viwili, ISIPO KUWA Yesu Mwana wa Mariamu ambaye Shetani alishindwa kumgusa na wala kumsogolea.


HADITHI nyinge ya Mkweli Mwaminifu Bhukar 4: 642, kama ilivyo letwa kwenu na Said bin Al-Musaiyab:

Abu Huraira alisema, "nilimsikia Nabii wa Allah akisema, Hakuna kiumbe ambaye hakuguswa na Shetani, ndio maana mtoto hulia kwa sauti kubwa wakati wa kuzaliwa kwasababu Shetani anakuwa amemgusa, ISIPOKUWA Mariyam na Mwanae Yesu, wao hawakuguswa na Shetani. Kisha Abu Huraira akasema : " Na najikinga na Wewe kwa ajili yake na kwa ajili ya watoto wake kutoka kiwa Shetani" ( 3.36 )


Ndugu zanguni, Muhammad leo amekiri kuwa, YESU hakuwai kuguswa na Shetani lakini yeye na Waislam wote wameguswa na kuchezewa na Shetani.


Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)


Muhammad anasema: Shetani anaingia msikitni na kuwachezea Waislam kama ushahidi unavyo sema hapo juu.
Kwanini mfuate dini ambayo inaongozwa na MASHETANI Msikitini?


Kwanini Shetani ana mamlaka ya kuwapuliza Waislam matako yao?
Hakika Uislam ni dini bandia.
hii mambo ya dini wajinga wanatuletea tutaharibu nchi dakika moja. mtu kudhani dini yako ni bora kuliko zingine sio ajabu. lakini kuamini watu wote lazima wafuate dini yako ni ujinga na hatari sana pale ukianza kutumia nguvu eti watu wafuate dini yako. msingi wa amani ni kila mtu kuheshimu dini ya mwenzake na hata wale wasioamini dini au uwepo wa mungu kuheshimiwa. hii mambo ya kujambajamba au uwepo wa mwana wa mungu au la ndio imani za dini. mabishano ya hii vitu ni hatari kwani hakuna mshindi ila kuangamizana. ndugu zangu tuwe wamoja kushinda upepo wa ugaidi wa imani kali ya kidini.
 






HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!


Ijumaa liliunasa mkanda huo kutoka kwa mtu mmoja aliyekataa kujitambulisha kwa jina wala kusema anakotokea hapa nchini huku akisema: “Una maneno ya hatari sana, naogopa kujianika, nitauawa.”

Hatimaye kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti la Ijumaa kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!

Gazeti hilo linadai kuunasa mkanda huo kutoka kwa mtu mmoja aliyekataa kujitambulisha kwa jina wala kusema anakotokea hapa nchini.

Bin Abdullah ametumia dakika 11: 03 kuzungumzia mambo mbalimbali lakini kubwa kuliko yote ni kuliponda Jeshi la Polisi Tanzania kwa kuwakamata wenzao katika imani na harakati (zinazohifadhiwa kwa sasa) na kuwashikilia kwenye mahabusu mbalimbali nchini.

Alianza kwa Kusema:
Bin Abullah ambaye kwenye mkanda huo amevaa nguo nyeusi kama ninja na miwani ya giza, alizungumza kwa kirefu, akitoa wito lakini mbele akasema:

“Tumeshaungana ili kupambana. Mkoa wa Mtwara zaidi ya wenzetu kumi na saba walikamatwa kwa makosa ya dhuluma, makosa ya kupanga, makosa ya ugaidi.

Ishirini na moja wamekamatwa Zanzibar wako katika Gereza la Segerea (Dar). Wenzetu wengine kumi na nane wamekamatwa Mwanza wako katika Gereza la Kisongo, Arusha. Ndugu zangu, wenzetu wengine kumi na saba wameuawa Mtwara kwa amri ya ...(anamtaja waziri).” “Subira yetu imefika mwisho na tulichokuwa tunasubiri Mungu ameshatupa. Tunatoa ahadi kilichopo hivi sasa tunatoboa jahazi wote tuzame.

“Tunatoa rai, wenzetu waliopo Gereza la Kisongo waachiwe huru. Hapa hatumtishi mtu yeyote yule.”“Pili, agizo la Ernest Mangu IGP, umetangaza uliwenguni kwamba umewakamata wote waliovamia vituo vya polisi na umezikamata silaha zote. Ukweli ni kwamba unatetea tumbo lako. Hakuna mtu hata mmoja aliyekamatwa na wala silaha hazijakamatwa.

“Mungu ametukubali. Katika Kituo cha Polisi Ushirombo (Kilimanjaro) tumeweza kuvamia kituo, tukaweza kutoa roho za polisi na tukaweza kuchukua silaha, tunazo.

“Tumevamia Kituo cha Polisi Ikwiriri (Pwani), tumeweza kuchukua silaha za kutosha, tumeweza kuchukua mabomu ya kutosha. Tunazo silaha tunasubiri muda zianze kufanya kazi.“Ernest Mangu nakupa changamogto, hivi sasa tuna uwezo...(maneno yanahifadhiwa kwa usalama) wakati wowote ambao tunataka.

“Tumeweza kuchukua silaha bila kuwa na silaha yoyote. Ndugu zetu wa Tanga wameweza kuchukua silaha wakiwa hawana silaha yoyote. Ikwiriri tumechukua silaha tukiwa hatuna silaha yoyote, mpaka sasa tumeshachukua roho tano za polisi.“Ndugu zangu, ...mlikuwa mkinisubiri nitoe tamko, natoa kauli rasmi...” alihitimisha Abdullah, huku vitisho vya jumla kwenye tamko lake vikiwahusu polisi, viongozi wa ngazi za juu serikalini pamoja na mikusanyiko ya ibada.

Tamko la IGP

Baada ya video hiyo,Gazeti la Ijumaa lilimtafuta Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu na kuzungumza naye kuhusu mtu huyo na kumkabidhi video ambapo alisema: “Nawashukuru sana kwa kuleta video hii, huu ndiyo ushirikiano unaotakiwa, nawaomba wananchi video za aina hii wazikatae kwa sababu ni kosa kuwa nazo na watu kadhaa wameshakamatwa kwa kuwa nazo.

“Sisi kama jeshi la polisi tunajua kuwa kuna watu wanadhani kufanya uhalifu kama huo kutawasaidia kutimiza matakwa yao, lakini ukweli ni kwamba polisi wapo imara na nina uhakika watuhumiwa watakamatwa kwa kushirikiana na raia wema.”

Shehe Mkuu Amkana

Baada ya kuzungumza na IGP, Gazeti lilimtafuta Shehe Mkuu Tanzania, Mufti Shaban Simba na kumsimulia kuhusu kuibuka kwa Bin Abullah na kutaka kujua pengine anamfahamu. “Kwanza hizo taarifa hizo ndiyo nazisikia kutoka kwako. Hilo jina ulilonitajia (Bin Abdullah) sijawahi kulisikia labda muangalie kwa wenzetu upande wa pili.”


Chanzo:
GPL


Washenzi tu hao hawana lolote kama wanajiamini kwanini wafiche sura zao si wazionyeshe basi,eti wenzao waachie huru huyo atakuwa anawaza kutumia makalio sio bure watu wamefanya uhalifu waachiwe huru kwasababu eti kikundi chao kimeiba silaha,wehu tu hao kwanza sio kikundi cha kigaidi ni vibaka tu hao wananjaa hawana kazi.
 
Last edited by a moderator:
hii mambo ya dini wajinga wanatuletea tutaharibu nchi dakika moja. mtu kudhani dini yako ni bora kuliko zingine sio ajabu. lakini kuamini watu wote lazima wafuate dini yako ni ujinga na hatari sana pale ukianza kutumia nguvu eti watu wafuate dini yako. msingi wa amani ni kila mtu kuheshimu dini ya mwenzake na hata wale wasioamini dini au uwepo wa mungu kuheshimiwa. hii mambo ya kujambajamba au uwepo wa mwana wa mungu au la ndio imani za dini. mabishano ya hii vitu ni hatari kwani hakuna mshindi ila kuangamizana. ndugu zangu tuwe wamoja kushinda upepo wa ugaidi wa imani kali ya kidini.
Ndio dini ya Allah hiyo. Hata walio kuwepo hapa wa hiyo dini wanashangilia kimyakimya katika nyoyo zao chafu. FYI, huyo jamaa wa Tanga ni member wa hii forum.

Huu ni msiba
 






HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!


Ijumaa liliunasa mkanda huo kutoka kwa mtu mmoja aliyekataa kujitambulisha kwa jina wala kusema anakotokea hapa nchini huku akisema: “Una maneno ya hatari sana, naogopa kujianika, nitauawa.”

Hatimaye kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti la Ijumaa kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!

Gazeti hilo linadai kuunasa mkanda huo kutoka kwa mtu mmoja aliyekataa kujitambulisha kwa jina wala kusema anakotokea hapa nchini.

Bin Abdullah ametumia dakika 11: 03 kuzungumzia mambo mbalimbali lakini kubwa kuliko yote ni kuliponda Jeshi la Polisi Tanzania kwa kuwakamata wenzao katika imani na harakati (zinazohifadhiwa kwa sasa) na kuwashikilia kwenye mahabusu mbalimbali nchini.

Alianza kwa Kusema:
Bin Abullah ambaye kwenye mkanda huo amevaa nguo nyeusi kama ninja na miwani ya giza, alizungumza kwa kirefu, akitoa wito lakini mbele akasema:

“Tumeshaungana ili kupambana. Mkoa wa Mtwara zaidi ya wenzetu kumi na saba walikamatwa kwa makosa ya dhuluma, makosa ya kupanga, makosa ya ugaidi.

Ishirini na moja wamekamatwa Zanzibar wako katika Gereza la Segerea (Dar). Wenzetu wengine kumi na nane wamekamatwa Mwanza wako katika Gereza la Kisongo, Arusha. Ndugu zangu, wenzetu wengine kumi na saba wameuawa Mtwara kwa amri ya ...(anamtaja waziri).” “Subira yetu imefika mwisho na tulichokuwa tunasubiri Mungu ameshatupa. Tunatoa ahadi kilichopo hivi sasa tunatoboa jahazi wote tuzame.

“Tunatoa rai, wenzetu waliopo Gereza la Kisongo waachiwe huru. Hapa hatumtishi mtu yeyote yule.”“Pili, agizo la Ernest Mangu IGP, umetangaza uliwenguni kwamba umewakamata wote waliovamia vituo vya polisi na umezikamata silaha zote. Ukweli ni kwamba unatetea tumbo lako. Hakuna mtu hata mmoja aliyekamatwa na wala silaha hazijakamatwa.

“Mungu ametukubali. Katika Kituo cha Polisi Ushirombo (Kilimanjaro) tumeweza kuvamia kituo, tukaweza kutoa roho za polisi na tukaweza kuchukua silaha, tunazo.

“Tumevamia Kituo cha Polisi Ikwiriri (Pwani), tumeweza kuchukua silaha za kutosha, tumeweza kuchukua mabomu ya kutosha. Tunazo silaha tunasubiri muda zianze kufanya kazi.“Ernest Mangu nakupa changamogto, hivi sasa tuna uwezo...(maneno yanahifadhiwa kwa usalama) wakati wowote ambao tunataka.

“Tumeweza kuchukua silaha bila kuwa na silaha yoyote. Ndugu zetu wa Tanga wameweza kuchukua silaha wakiwa hawana silaha yoyote. Ikwiriri tumechukua silaha tukiwa hatuna silaha yoyote, mpaka sasa tumeshachukua roho tano za polisi.“Ndugu zangu, ...mlikuwa mkinisubiri nitoe tamko, natoa kauli rasmi...” alihitimisha Abdullah, huku vitisho vya jumla kwenye tamko lake vikiwahusu polisi, viongozi wa ngazi za juu serikalini pamoja na mikusanyiko ya ibada.

Tamko la IGP

Baada ya video hiyo,Gazeti la Ijumaa lilimtafuta Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu na kuzungumza naye kuhusu mtu huyo na kumkabidhi video ambapo alisema: “Nawashukuru sana kwa kuleta video hii, huu ndiyo ushirikiano unaotakiwa, nawaomba wananchi video za aina hii wazikatae kwa sababu ni kosa kuwa nazo na watu kadhaa wameshakamatwa kwa kuwa nazo.

“Sisi kama jeshi la polisi tunajua kuwa kuna watu wanadhani kufanya uhalifu kama huo kutawasaidia kutimiza matakwa yao, lakini ukweli ni kwamba polisi wapo imara na nina uhakika watuhumiwa watakamatwa kwa kushirikiana na raia wema.”

Shehe Mkuu Amkana

Baada ya kuzungumza na IGP, Gazeti lilimtafuta Shehe Mkuu Tanzania, Mufti Shaban Simba na kumsimulia kuhusu kuibuka kwa Bin Abullah na kutaka kujua pengine anamfahamu. “Kwanza hizo taarifa hizo ndiyo nazisikia kutoka kwako. Hilo jina ulilonitajia (Bin Abdullah) sijawahi kulisikia labda muangalie kwa wenzetu upande wa pili.”


Chanzo:
GPL

Allah Akbar.Ukombozi umewadia!
 
Last edited by a moderator:
..........wanayofanya wakiristu wenzenu kutuibia mpaka benki kuu huku wakishirikiana na kanisa unaona ni sahihi !?? musami

Ok kwahiyo unaunga mkono wanayoyafanya hawa vijana?Nadhani wewe unafaa kuisaidia polisi
 
Last edited by a moderator:
Video kama hizi zinaletwa kwa lengo la kuvuruga vichwa vya wengi na wanaakili sana kwasababu italeta mgawanyiko wa wengi ndani ya vyama mnavovipenda.Kwa mfano UKAWA lazima kuna mchanganyiko wa Dini tofauti kwahivo lazima mtajigawa na kura zenu zitaisaidia CCM kuwepo madarakani.:heh::yo:

Kama mnaakil mtaipotelezea na mtawaachia wenywe wahusika :ballchain:
 
Don't be brainwashed. Jihad is Islamic and is in the Jibric Quran.

Quran (9:14) - "Fight against them so that Allah will punish them by your hands and disgrace them and give you victory over them and heal the breasts of a believing people."

Humiliating and hurting non-believers not only has the blessing of Allah, but it is ordered as a means of carrying out his punishment and even "healing" the hearts of Muslims.


Bukhari (52:65) - The Prophet said, 'He who fights that Allah's Word, Islam, should be superior, fights in Allah's Cause. Muhammad's words are the basis for offensive Jihad - spreading Islam by force. This is how it was understood by his companions, and by the terrorists of today.

Bukhari (52:220) - Allah's Apostle said... 'I have been made victorious with terror'

Who do you think was the first terrorist?
The first one all who wanted to kill the Prophet Jesus.
The second one is Paul who killed all remaing Jesus students and make himself kingmaker
Third one are crusaders who killed millions of people in middle east. Millions in Asia and millions in africa.
The forth are the modern terrorist crusaders lead by catholic Hitler who killied 6 million jews and caused an earhqauke of killings worldwide at the end of their madness 100 million peoole perished .
Then fillowed Bush Blair obama and fellow eurepeans teririst who killed more than 2 million innocents Iraqis . Over 1 million Afghans

They destroy iraq syria libya afghan somalia .
These terrorist will not rest as thy blood thisty thy are killing peoole every where by drones and sooner thy will come to kill tanzanians because thy hv thier stooges who record hatred videos . Thy know tanzania is divided between 2 Dinis. Thy hv already trained our police and posibilities of having moles inside is high so tusitafute mchawi
 
Video kama hizi zinaletwa kwa lengo la kuvuruga vichwa vya wengi na wanaakili sana kwasababu italeta mgawanyiko wa wengi ndani ya vyama mnavovipenda.Kwa mfano UKAWA lazima kuna mchanganyiko wa Dini tofauti kwahivo lazima mtajigawa na kura zenu zitaisaidia CCM kuwepo madarakani.:heh::yo:

Kama mnaakil mtaipotelezea na mtawaachia wenywe wahusika :ballchain:

I agree with you and we have such many ignorant people from the both side of the devide who jump the wagon blinded by faith without reasoning.

The Christians like above post that slanders the Muslimans and their prophet and their supporters are ready for blood bath, and on the other other side those who chants the Takbir thinking that at last the salvation of the Musliman has arrived.

It is a pitty that the leaders of both side tue rulling and the opposition parties does not speak against this at least here in JF where it is the platform of the so called 'Great Thinkers'
 
Back
Top Bottom