Huyu ndo msanii bora wa Tanzania mwaka 2016

Huyu ndo msanii bora wa Tanzania mwaka 2016

Wasanii wengine wanakazi kubwa kumfikia huyu jamaa
Ishu sio kumfikia
Tunachotaka sie wasanii wote watoboe na wawe mianya mingi ya kupiga pesa kama ilivyo kwa wasanii wa nigeria..
 
msaga sumu ndio bora anakawimbo kake kale sijui shemeji unafanyaje ....kanapigwa sana uswazi huku
 
Mkuu kwanza nikupongeze kwa uzi Mzuri ulio na FACTS. hawatakua na la kusema hapa. Ila tuwakumbushe pia Taifa sasa lamsherekea Mtoto mchanga,, Chibu Jr.
Data baba hawajawahi kosa la kuongea hata kwa vitu vilivyo wazi
 
Alikuwa bora.. hapo najua hujaweka mauzo ya mtandaoni.. i wish him the best kwa mwaka ujao uwe mzuri pia.. the same to me..
 
Tukiangalia mwaka 2016 katika wasanii wa bongo fleva nani aliefanikiwa katika muziki wake na kuingiza pato kubwa mwaka 2016
Diamond platnumz huyu ndo msanii aliepata mafanikio zaidi Tanzania
Hizi ndio facts

- Mwezi wa kwanza Diamond alishinda tuzo kubwa nchini Nigeria za the Headies kama msanii bora wa mwaka non Nigerian

- Mwezi wa 2 diamond alishinda tuzo 2 za Hipipo nchini Uganda kama msanii bora wa Africa mashariki na wimbo bora wa africa mashariki kupitia wimbo wa Nana


- Kuanzia mwezi wa 3 hadi wa 5 diamond alifanya tour ya music wake US na Uerope akafanya shows zaidi ya 37 na kuingiza zaidi ya milioni 600
View attachment 443230

- Mwezi wa 5 diamond alichaguliwa kuingia kwenye tuzo za BET

- Mwezi wa 6 diamond aliingia mkataba na Vodacom wa kuwa balazo wao na kutengenenea matangazo yao. Diamond alilipwa zaidi ya milioni 600 na vodacom

- Mwezi wa 7 Diamond aliingia mkataba na Tomato Gold source na kulipwa zaidi ya milioni 160 na kutengeneza tangazo pia

-Mwezi wa 8 diamond aliingia mkataba na cocacola kutengeneza tangazo la Onja msisimko na kulipwa zaidi ya milioni 70

- Mwezi wa 9 diamond alifanya show nchini kenya kwa mwaliko wa chama cha ODM na kulipwa zaidi ya milioni 87

- Mwezi wa 10 diamond alishinda tuzo zaidi 7 kuanzia afrimma na eau usa

- Mwezi wa 11 diamond alianza kufanya ziara yake Africa kuanza nigria, malawi , mayotte pia alishinda tuzo 3 za afrima

- Mwezi 12 diamond alitangaza kulipwa zaidi ya bilioni 2 na lebal ya Universal music group na kuingia nao partnership ya kusambaza music wa WCB duniani
Nimependa umeongea kwa weledi,sio blah blah safi sana. Ingekuwa vizuri tungekuwa na akina DIAMOND kama 10 au zaidi,lakini wabongo TUNATAKA KWANZA TUMSHUSHE HUYU NDIO AWEPO MWINGINE,HALAFU WAMEKUTA WENGINE HATUTAKI HILO LITOKEE,MATOKEO YAKE KABAKI HUYO HUYO ANAWABULUZA.
 
Duuh
Kjn ana pesa
Kwamba kwa mwez tuu.anaangiza zaid 50mil

Magu anapokea 19mil,si dharau hizi

Magu jiongeze mshahara asee,
 
Nifah anatamani angekuwa mod aufutilie mbali huu uzi.....hahaha tangazo lipo ndani notice board ya kioo...huwezi chana
 
Back
Top Bottom