Muimbaji wa muziki raia wa Norway, Makihiyo ameachia nyimbo iitwayo ‘Ni Wako’ akiwa amemshirikisha mkali wa muziki wa R&B Bongo, Ben Pol. Huyu mzungu anasema sababu ya kuimba kwa Kiswahili ni kuwa Kiswahili kimekaa kimuziki sana, ni lugha inayoendana na muziki rahisi kuimba.
Mbali nakuimba anapenda sana kucheza yaani kudance muziki wa Africa. kwa Uwezo wake na kipaji chake huyu ni Zaidi ya yule mzungu mwengine aitwaye Sarah.
Style yake ya kuimba iko kama ya Nandy na Ruby. Hapo sasa utata unapokuja kuwa huyu mzungu Atawafunika Nandy na Ruby wasipotulia. Inasemekana anawapa tumbo joto..
Mbali nakuimba anapenda sana kucheza yaani kudance muziki wa Africa. kwa Uwezo wake na kipaji chake huyu ni Zaidi ya yule mzungu mwengine aitwaye Sarah.
Style yake ya kuimba iko kama ya Nandy na Ruby. Hapo sasa utata unapokuja kuwa huyu mzungu Atawafunika Nandy na Ruby wasipotulia. Inasemekana anawapa tumbo joto..