Huyu ni Afisa gani serikalini?

Huyu ni Afisa gani serikalini?

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Naomba kujua wadau hii ni plate number ya afisa gani? au ni private number?
IMG_20220924_162445.jpg
 
Clerk of the National Assembly.
Lugha ya madafu ni Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Speaker ni S
Naibu Speaker ni NS
Nilidhani labda na huyu ingeandikwa kwa utaratibu wa hao juu
 
Tanzania wanajuwa sana kubana matumizi

Ova
 
Back
Top Bottom