Madimba jr JF-Expert Member Joined Aug 12, 2017 Posts 1,577 Reaction score 3,146 Oct 2, 2022 Thread starter #21 TODAYS said: Nilikuona wakati ukipiga hiyo picha nilikuwa kwenye ile defender kushoto mwa hiyo gari. Although miaka yote ya mahafari hapa skuli mvua ni sehemu ya sherehe. Click to expand... Isije ikawa na wewe ulinipiga picha wakati niko bize kupiga picha gari ya CNA😁😁
TODAYS said: Nilikuona wakati ukipiga hiyo picha nilikuwa kwenye ile defender kushoto mwa hiyo gari. Although miaka yote ya mahafari hapa skuli mvua ni sehemu ya sherehe. Click to expand... Isije ikawa na wewe ulinipiga picha wakati niko bize kupiga picha gari ya CNA😁😁
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Oct 2, 2022 #22 bolivia said: CNAView attachment 2368143 Click to expand... Certified Network Administrator.... 😀😀
TODAYS JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 14,747 Reaction score 24,250 Oct 2, 2022 #23 Madimba jr said: Isije ikawa na wewe ulinipiga picha wakati niko bize kupiga picha gari ya CNA😁😁 Click to expand... Alipiga jamaa yangu ningekuwekea hapa ujione ila kasafiri nje ya Lushoto.
Madimba jr said: Isije ikawa na wewe ulinipiga picha wakati niko bize kupiga picha gari ya CNA😁😁 Click to expand... Alipiga jamaa yangu ningekuwekea hapa ujione ila kasafiri nje ya Lushoto.
Madimba jr JF-Expert Member Joined Aug 12, 2017 Posts 1,577 Reaction score 3,146 Oct 3, 2022 Thread starter #24 TODAYS said: Alipiga jamaa yangu ningekuwekea hapa ujione ila kasafiri nje ya Lushoto. Click to expand... Noma sana afande,kumbe TODAYS ni afande mwandamizi👮♂️
TODAYS said: Alipiga jamaa yangu ningekuwekea hapa ujione ila kasafiri nje ya Lushoto. Click to expand... Noma sana afande,kumbe TODAYS ni afande mwandamizi👮♂️
H Hoaxer JF-Expert Member Joined Sep 7, 2022 Posts 2,726 Reaction score 6,852 Oct 3, 2022 #25 Je hii namba MMM Ni MTU gani?
TODAYS JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 14,747 Reaction score 24,250 Oct 4, 2022 #26 Madimba jr said: Noma sana afande,kumbe TODAYS ni afande mwandamizi👮♂️ Click to expand... Noma sana!
Madimba jr said: Noma sana afande,kumbe TODAYS ni afande mwandamizi👮♂️ Click to expand... Noma sana!