Huyu ni mdogo wake diamond kweli? wamefanana kweli

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Kijana anayedai ni mdogo wake diamond analalamika kaka yake amemtosa, sasa sijui kama ni mdogo wake kweli ila wanaongea sawa na wanafanana
 
Kha......!!!
Kamfanana kweli Diamond
 
ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa dgo katshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ivi ni lafudhi ya wap iii??
Nimeipenda buree [emoji28][emoji28]
 
Heheeeeeeeee woooooiiiii ila acheni utani kafanana na dyomoooo mweeeeeehhhhh
 
[quote uid=380996 name="joanah" post=18066567]Nimependa rafudhi <br />Undugu wake na diamond wala haunihusu[/QUOTE]<br />Ndiyo maana huwa mnaliwa kizembe sana..!


[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni mwanae huyo alimtelekeza huko Tandale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…