raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mwenyewe nakupenda Missy Gf kama ulivyo 😚raraa reree huna baya tunakupenda wewe na likes zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe nakupenda Missy Gf kama ulivyo 😚raraa reree huna baya tunakupenda wewe na likes zako
Ana siti yake MBINGUNI 🤓🤓🤓 akifa HAOZIIraraa reree huna baya tunakupenda wewe na likes zako
Kabisa 🤣🤣🤣Ana siti yake MBINGUNI 🤓🤓🤓 akifa HAOZII
Mungu ananiona 😄Apia
Shift za kulike?Kuna accounts nyingine zinaendeshwa na zaidi ya mtu mmoja.
Ni kundi la watu wanapeana shift.
Sasa shida ni nini? Uwe unazihamishia kwangu hizo likesWanisamehe. Mtu anayelike kila comment yangu hua namuweka ignorw list. Unaamka asubuhi unakuta notification 70 za mtu analike post zako za 2016 huko
una bahati ya mtende, hulali na nyege mzeeMungu ananiona 😄
Kwakweli hua sipend. I think it's just because I'm sooo succumbed with truth. Mm najua like ni appreciation ya kile nilichopost kwamba mtu kakipenda sasa. Haiwezekani hata nikiweka emoj unipe likes... Pengine mtu anaamua kufatilia mada yako fulani just kwakua ndio tavia yake kutoa like basi anasambaza likes..Sasa shida ni nini? Uwe unazihamishia kwangu hizo likes
Wanafanya hvyo kwa malengo yapiKuna accounts nyingine zinaendeshwa na zaidi ya mtu mmoja.
Ni kundi la watu wanapeana shift.
Sawa mkuuKwakweli hua sipend. I think it's just because I'm sooo succumbed with truth. Mm najua like ni appreciation ya kile nilichopost kwamba mtu kakipenda sasa. Haiwezekani hata nikiweka emoj unipe likes... Pengine mtu anaamua kufatilia mada yako fulani just kwakua ndio tavia yake kutoa like basi anasambaza likes..
Mm hata uniudhi namna gani hua siweki mtu ignore ila swala la like kwakweli sipendi. That's me, and I can't help it.
Wote waliopo ignore list sababu ni hiyo but si kwa ubaya. Kwangu ni usumbufu View attachment 2873408
Kwakweli hua sipend. I think it's just because I'm sooo succumbed with truth. Mm najua like ni appreciation ya kile nilichopost kwamba mtu kakipenda sasa. Haiwezekani hata nikiweka emoj unipe likes... Pengine mtu anaamua kufatilia mada yako fulani just kwakua ndio tavia yake kutoa like basi anasambaza likes..
Mm hata uniudhi namna gani hua siweki mtu ignore ila swala la like kwakweli sipendi. That's me, and I can't help it.
Wote waliopo ignore list sababu ni hiyo but si kwa ubaya. Kwangu ni usumbufu View attachment 2873408
Mmmh we nae Terminator 2😅
Na sisi tuliom quote tunaonekana wehu 😂😂akifuta nam report.Uzuri napokupendea
Baada ya nusu saa utarudi nyuma kufuta ulivyo comment.