Huyu ni mtu au robot?

Sasa shida ni nini? Uwe unazihamishia kwangu hizo likes
Kwakweli hua sipend. I think it's just because I'm sooo succumbed with truth. Mm najua like ni appreciation ya kile nilichopost kwamba mtu kakipenda sasa. Haiwezekani hata nikiweka emoj unipe likes... Pengine mtu anaamua kufatilia mada yako fulani just kwakua ndio tavia yake kutoa like basi anasambaza likes..
Mm hata uniudhi namna gani hua siweki mtu ignore ila swala la like kwakweli sipendi. That's me, and I can't help it.
Wote waliopo ignore list sababu ni hiyo but si kwa ubaya. Kwangu ni usumbufu
 
Sawa mkuu
 
Uzuri napokupendea
Baada ya nusu saa utarudi nyuma kufuta ulivyo comment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ