Allegations without evidence is jeuolesy...na huko ndiko unakoelekea.
mwanakijiji namsubiri alete accusation zake ndio tujadili
kwa sasa wacha jamaa awe millionare kwa nafasi yake...
Tanzania mafanikio ni juhudi yako and the sky is the limit hiyo Tanzania tunayoitaka siyo ya enzi za mchongo uchoyo uchoyo na ubinafsi..
kama hajaiba let him be rich..
Mathematician asante sana kwa ka formula haka. Mimi nimekuelewa baada ya kutumia hiyo formula.let x= tumain
y=bongoflava artist
z=merei b
if x = y then y:z=1
but since x=y then x:z=1
hallow mathematicians.....
Ndio huyo, pia anahusishwa na kuwatembelea wanaume (tena maarufu hapa mjini) kinyume na maumbile... kasaidia "chama chetu" pia
Hii balaa, kama jamaa ana tabia ya kupenda migongo ya waume, hicho chama chenu kipo hatarini.
.
Ni Hubert, but this guy is young, bright and briliant, but licha ya kuwa ni one of few young self made millioneirs, he is very humble na down to earth. Anamiliki redio station na sijawahi kusikia hata akitajwa kwenye redio yake. Wapambe wake ndio wanaishi top life na maferari, vogue na hammer zao.
Ndio huyo, pia anahusishwa na kuwatembelea wanaume (tena maarufu hapa mjini) kinyume na maumbile... kasaidia "chama chetu" pia
Acheni kututisha na konspirasi theorizi zenu. Tanzania ni nchi ya amani na utulivu. Inafuata utawala wa kisheria. Ina utawala bora. Pia ina uongozi uliochaguliwa katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki. Vyombo vya dola vinafanya kazi yake. Na watuhumiwa wote wanapelekwa mahakamani. Sheria inafuata mkondo wake.
Its Albert and not Hubert, unless awe amebadilisha jina hivi karibuni. Alikuwa anamiliki radio ya kiislamu, lakini aliiuza. Yeye mwenyewe ni mganda, alikuwa adopted na Major General Marwa wakati wa vita na Uganda. Ilikua amuoe mtoto wa JK, sijui kama hio harusi ilifanyika au vipi, maana kulikua na zengwe.
Its Albert and not Hubert, unless awe amebadilisha jina hivi karibuni. Alikuwa anamiliki radio ya kiislamu, lakini aliiuza. Yeye mwenyewe ni mganda, alikuwa adopted na Major General Marwa wakati wa vita na Uganda. Ilikua amuoe mtoto wa JK, sijui kama hio harusi ilifanyika au vipi, maana kulikua na zengwe.
hee Topic ina mambo ukistaajabu ya Musa ..
Bwana huyu anauhusiano wa karibu na mh shabiby na ninavyosikia pia wanauhusiano wa mbali kina bakhresa, lakini hawana good terms kwakuwa huyu bwana yupo sana kwenye shady business.....anamiliki hotel dodoma....kuna ishu kwamba wanajenga kiwanda kikubwa sana sehemu za kusini ( nazani ni cha cement) ila wao ilikuwa nia ni kupiga pesa ndefu lakini investors walishtuka kwa hiyo ile pesa haipiti mkononi mwao...too bad...ila jamaa huyu ni mafia.....ni mtu mwenye moyo wa kusaidia nasikia ila pia ni mtu wa wanawake sana...