Huyu ni nani?

Huyu ni nani?

Mmh! CV Bab kubwa. Hayumo kwenye Chama pia huyu? In any case, tunaisubiri kwa hamu hiyo ripoti inayofanyiwa kazi na Mzee wa kazi -MmKjj. Ingekuwa sie wengine tungeshabwaga manyanga baada ya mtiririko huo wa misifa. 😛
hilo sio swali lazima yupo chamani huyu.....
 
.
Mzee Mwanakijiji, jina la huyu jamaa limeibuliwa bungeni leo. Aliyeliibua ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, John Cheyo wakati akitoa maoni ya Kamati yake kuhusiana na taarifa za ukaguzi ya CAG. Mzee Cheyo ameliambia bunge kuwa huyu jamaa, nadaiwa zaidi ya bilioni 8 za serikali. Jamaa huyu ana kiburi cha ajabu, ameliomba bunge liiagize serikali imchunguze kujua kiburi hiki anakipatia wapi.

Japo Cheyo hakusema ni deni la nini na ni kiburi gani, nadhani majibu yanapatikana ndani ya taarifa ya CAG kuhusu hesabu za serikali kuu.

Pia nakumbushia, bado tunaisubiria dossier yako.

Mzee Mwanakijiji atakuwa bado anaiandaa,tuwe wavumilivu tumpe muda.
 
Last edited by a moderator:
huyu jamaa alikuwa mwizi ameiba sana sukari kilombero kwa kutumia vibali bandia na mara nyingi alikuwa akikamatwa na kuwekwa ndani alikuwa anaiba magari kwa magari baadae akapotea alipoibika alikuwa na meliza mafuta akaanza kujenga matenki huko Tanga wakati Mboma mkuu wa majeshi alipata tenda ya kusambaza mafuta jeshini kwa sababu mafuta ya jeshi hayalipiwi ushuru alikuwa anasambaza nje ya jeshi ndio chanzo cha kupitisha sheria ya kuweka rangi kwenye mafuta,pia alikuwa na kesi ya kukwepa ushuru kati yake na TRA lakini hiyo kesi haiishi mpaka iliwahi kulalamikiwa kwenye kamati za bunge.Anatoa pesa nyingi kwa wanasiasa kabla ya hata kupata rais wa awamu ya nne na wengi waliopewa pesa sasa hivi wana nyazifa nzito nchini na mmoja wao anajinadi ni mpinga ufisadi kupitia Mboma alipata tenda ya kusafirisha mafuta Kongo hayo majina sitaki kuyataja ila nategemea utayapata kupitia vyanzo vingine
 
[Ulongo mtupu, aliyeamuru kampuni yake ifungwe ni Jei Kei baada ya kukataa kumsapoti katika uchaguzi]
Nasikia alipigiwa simu na Jk akamwambia jamaa yake mwambie sipo halafu akasema huyu jamaa ni msumbufu kumbe simu ilikuwa hewani kama unavyojua mzee wa visasi akaanza kumshugurikia ni tetesi inaweza kuwa kweli au uongo
 
Mkuu Mwanakijiji unasubiri CCM itoke madarakani ndo uitoe hiyo ripoti?
 
Dah sijui, ila naona ile ripot iko kwenye ile site anayouzia! sijui!!
 
aah ok alikuwa na depot ya mafuta pale bandari ya tanga .karibu na BP
 
tumpe muda miaka mingapi? Mbona imekuwa kazi ya kiswahili. Manake ripoti za tume hazitoki hadi itokee ajali nyingine ya meli,kha!
Labda yuko busy ama amebadili mawazo?kwasababu sidhani kama haoni tumemmention lakini nadhani hataki kurudi tena hapa,why i dont know.Labda uchunguzi wake haujakamilika?
 
Yup, ni fisadi flan na alikuwa anatumiwa na wakubwa wengi sana serikalini na ktk chama ! Huyo Mboma mwenyewe through dili hizo hizo za mafuta na kusafirisha mizigo kongo n.k
Then akajifanya kutumia mgongo wa kumiliki Moro United.... ile timu ya soka enzi zile ikiwa imeshamiri kama ya fisadi Azam ..!
Hata tembo wameua sana hawa na kusafirisha na malori na hata meli, na ile mizigo mingine iliyokamatwa Pakistan na huko mashariki ya mbali- kutangazwa kwa mbwembwe na then huzisikii tena ishu hizo ni huyu huyu..!!

huyu jamaa alikuwa mwizi ameiba sana sukari kilombero kwa kutumia vibali bandia na mara nyingi alikuwa akikamatwa na kuwekwa ndani alikuwa anaiba magari kwa magari baadae akapotea alipoibika alikuwa na meliza mafuta akaanza kujenga matenki huko Tanga wakati Mboma mkuu wa majeshi alipata tenda ya kusambaza mafuta jeshini kwa sababu mafuta ya jeshi hayalipiwi ushuru alikuwa anasambaza nje ya jeshi ndio chanzo cha kupitisha sheria ya kuweka rangi kwenye mafuta,pia alikuwa na kesi ya kukwepa ushuru kati yake na TRA lakini hiyo kesi haiishi mpaka iliwahi kulalamikiwa kwenye kamati za bunge.Anatoa pesa nyingi kwa wanasiasa kabla ya hata kupata rais wa awamu ya nne na wengi waliopewa pesa sasa hivi wana nyazifa nzito nchini na mmoja wao anajinadi ni mpinga ufisadi kupitia Mboma alipata tenda ya kusafirisha mafuta Kongo hayo majina sitaki kuyataja ila nategemea utayapata kupitia vyanzo vingine
 
Kwa mujibu wa ile kesi ya Kuiibia benki, jamaa alishirikiana na wafanyakazi kuiba pesa kwa njia ya mtandao (online fraud) siyo hard cash! Hapa ndipo usumbufu wa kuhukumu kesi ulipokuwa, kwa sababu Tanzania bado hatuna sheria madhubuti za wizi kwa njia ya mtandao.
Kwa wale mnaopenda kusikiliza nyimbo za Mr. Nice na Ben Kinyaiya, wamemuimba sana mtu huyu (Mzee wa TIOT). Hawa nao, pamoja na wanamuziki wengine wengi tu, huyu ni mfadhili wao, siyo sisiemu tu!

Pia wimbo wa matonya Vailet na Anita, hilo jina linaskika sanaaaa
Ready to be corrected NOT collected...
 
Yaani hii is a 'must read' thread ngoja niwashtue na vipofu wengine kama mie wasome lol??!! Yote tisa!! Kweli nakumbuka issue ya mabinti kufia swimming pool jamani na habari zetu kama kawa zinaishiaga.. Uchunguzi bado unaendelea!!!?? Hii nchi inaweza kuwa si kubwa kivile but ikaongoza kwa habari za chini ya carpets...it is threatening!!

Yule miss alikuwa anatoka na jamaa so wakati wanaogelea mke wa jamaa akabonyeza trigger
 
kuna watu wana onekan tu kama wapo ,kama hawajulikani sana kumbe mambo yao ni hataree mwanakijiji njoo na ripot full
 
Last edited by a moderator:
Kupitia uzi huu nimepata kumjua huyo muarabu
 
Back
Top Bottom