Huyu Pascal Mayalla huwa mnamuelewa?

Huyu Pascal Mayalla huwa mnamuelewa?

Akiandika kitu anakaa katikati, haijulikani ni moto au ni baridi. Yuko neutral muda wote, yaani mara mia niwe na akina Mwashambwa na yule mwenzake sijui anaitwa Tantalila wanajulikana ni machawa wa David Kafulila nijue moja.

Pascal anaandika maelezo marefu na hana msimamo, ana mgogoro wa kimaandishi. Ni heri nisome mada zake kipindi akiwa Paskali. Na anajua sio kwamba ni mjinga, na najua inamuuma ila hana namna kuna kitu anatafuta.
 
Akiandika kitu anakaa katikati, haijulikani ni moto au ni baridi. Yuko neutral muda wote, yaani mara mia niwe na akina Mwashambwa na yule mwenzake sijui anaitwa Tantalila wanajulikana ni machawa wa David Kafulila nijue moja.

Pascal anaandika maelezo marefu na hana msimamo, ana mgogoro wa kimaandishi. Ni heri nisome mada zake kipindi akiwa Paskali. Na anajua sio kwamba ni mjinga, na najua inamuuma ila hana namna kuna kitu anatafuta.
Daaa huwa simuelewi kabisa
 
Akiandika kitu anakaa katikati, haijulikani ni moto au ni baridi. Yuko neutral muda wote, yaani mara mia niwe na akina Mwashambwa na yule mwenzake sijui anaitwa Tantalila wanajulikana ni machawa wa David Kafulila nijue moja.

Pascal anaandika maelezo marefu na hana msimamo, ana mgogoro wa kimaandishi. Ni heri nisome mada zake kipindi akiwa Paskali. Na anajua sio kwamba ni mjinga, na najua inamuuma ila hana namna kuna kitu anatafuta.
Halafu bahati mbaya hakiji na hakati tamaa
 
we umemuelewa huyu maisha ni kupanda ila nashangaa yameshuka
GTCZp24bUAAhP_T.jpg
 
Binafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes,faiza foxy na kina luca Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi .

Je wengine huwa mna muelewa ?
Zamani shulen tulisoma Hadithi ya mpapai na matete itafute inafundisha kitu.
 
Binafsi huwa naona bora uwe na Kina Erythrocytes, Faiza foxy na kina Lucas Mwashambwa wengi kuliko kuwa na mtu ambae haieleweki anasimamia kipi.

Je, wengine huwa mnamuelewa?
Huyo ni mchumia TUMBO, Huwa na Maandiko mengi ya KIJINGA,Huwa anaponda CHADEMA hada mbowe, anaponda kwa mbaali na kpulizia CCM, analenga zaidi UTEUZI, haaminiki sana kwenye Maandiko na misimamo
 
Mzee watu kavurugwa siku hizi na hiki ndio kinqmfanya akose sifa na kupoteza credibility yake aliokua nayo before.
Yan kwa kifupi anabomea kwa mikono yake ,kile alichokijemga mwenyewe
 
Back
Top Bottom