lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Wanamuwekea maneno le professeri
Hapo kila kitu ni fake,sijui mleta uzi hakujua au lengo ni utani. |
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamuwekea maneno le professeri
Hapo kila kitu ni fake,sijui mleta uzi hakujua au lengo ni utani. |
Nimejaribu kugoogle Lkn naletewa error, huyu mzee anapata wapi slang hizo, na kwa nini asitumie maneno yanayofahamika katika lugha ya kingereza?
Akiamua ndo anaonge kingereza cha kueleweka. Vinginevyo utachoka haraka kumsikiliza.Jamaa ana kingereza kizuri sana, yaani ni chepesi hata tuliomaliza form four tunakielewa. ila hiyo picha uliuopost sidhani kama inamuhusu yeye
Umeelewa lakini bwashee?!yani achanganyikiwe mara ya pili?
Mkuu umeshindwa hata kukiona ki blue tick cha verified user?..hiyo ni akaunt yake na mimi nilimfollow twitter kwa akaunt hiyo na leo nimemu unfollowHiyo account sio ya prof Lumumba. Ni ya watu wengine ambao wanatumia kama fun tu na mengi si maneno ya kiingereza
Ni ARROGANTNimejaribu kugoogle Lkn naletewa error, huyu mzee anapata wapi slang hizo, na kwa nini asitumie maneno yanayofahamika katika lugha ya kingereza?
HahaJamaa ana kingereza kizuri sana, yaani ni chepesi hata tuliomaliza form four tunakielewa. ila hiyo picha uliuopost sidhani kama inamuhusu yeye