Huyu Rais ana akili nyingi sana

Unatwambia ?, unatuconvince au unatuuliza ?

Tangia awamu iliyopita watu fikra zao wameziweka pending ni mwendo wa kusifia tu na kupongezana na sio kutatua changamoto wala kuwa critical

Tatizo kubwa sio watawala bali watu wanaotawaliwa kujitoa ufahamu
 
... kule Kenya wafanyakazi wote wamepandishiwa 12% with effect from May 01st fedha za Kenya kumbuka. Hakuna cha kwenda kupiga mahesabu; hilo lilitakiwa kufanyika kabla Rais hajapanda jukwaani.
 
... kule Kenya wafanyakazi wote wamepandishiwa 12% with effect from May 01st fedha za Kenya kumbuka. Hakuna cha kwenda kupiga mahesabu; hilo lilitakiwa kufanyika kabla Rais hajapanda jukwaani.
Wapo kwenye mwaka wa uchaguzi.
 
Wafanyabiashara kupandisha juu bei za vitu, hawaangalii mshahara
 
... kule Kenya wafanyakazi wote wamepandishiwa 12% with effect from May 01st fedha za Kenya kumbuka. Hakuna cha kwenda kupiga mahesabu; hilo lilitakiwa kufanyika kabla Rais hajapanda jukwaani.
Sijui walikuwapi kupiga hesabu toka mwaka jana
 
Mungu wa mbingu na nchi akupe neema ya msamaha maana hujui utendalo
 
Wapo kwenye mwaka wa uchaguzi.
Kila May Day nchini Kenya mishahara huwa lazima iongezwe, kwa asilimia flani. Rais huwa anatangaza tu, kwenye hafla ya siku ya wafanyakazi duniani. Ndio iwe rasmi kwamba nyongeza imekubaliwa. Jukumu la kutoa mapendekezo na asilimia ya nyongeza kwa wafanyakazi. Kwenye sekta tofauti huwa lipo kwa taasisi huru la kiserikali, linalosimamia suala hilo. Almaarufu kama SRC(Salaries & Renumaration Commission), sio rais wala ofisi ya rais.
Rais huwa anatia tu saini mapendekezo hayo, ambayo ni haki ya kila mkenya kikatiba, sio kama 'favour' tu kutoka kwa mzee.
 
Mkuu usitudannganye hakuna nchi yenye uwezo wa kuongeza mishahara kila may day.
 
Ndio maana hatuna umoja sababu ya walimu kama hawa
 
Mkuu usitudannganye hakuna nchi yenye uwezo wa kuongeza mishahara kila may day.
Rejelea kwenye hafla za May Day zingine nchini Kenya, uone kama rais huwa hatangazi nyongeza za mishahara. Hata kama sio kwa wafanyakazi wote, au kwenye sekta zote, wanaolipwa mishahara ya kima cha chini kabisa(minimum wage) huwa wanapata nyongeza kila mara.

Huwa ni nadra sana kwa rais kutotangaza nyongeza na akikosa huwa anawapa wafanyakazi mapochopocho mengine, anawatatulia kero fulani na kupandisha wengine vyeo.

Nyongeza huwa inatolewa hata kama ni kwa asilimia ndogo, ili kuwalinda wafanyakazi kiuchumi kutokana na gharama za maisha kupanda, mfumuko wa bei, kushuka kwa thamani ya sarafu, n.k, n.k. Vyama vya wafanyakazi nchini Kenya vina nguvu sana jombaa, sio kwamba rais huwa anafanya hivyo kwa kupenda kwake.
 
Hakuna cha kwenda kupiga mahesabu; hilo lilitakiwa kufanyika kabla Rais hajapanda jukwaani.

Lilitakiwa liwe limefanyika kazi kabla ya chief Hangaya kwenda kutembea kwenye ROYAL TOUR; kwasababu iliishafahamika kuwa wafanyakazi walikuwa wanategemea kupata nyongeza ya mishahara tokea mwaka jana!!! Chief hangaya ameonesha dharau kubwa kwa wafanyakazi na laiti wasingekuwa mazuzu pangechimbika kama palivyochimbika kwa Ramaphosa!!!
 
Nilipomuina mrisho mpoto ametangulua na wimbo wake wa kupongeza nikajua hakuna kauli.ila nakumbuka aliwahi mwambia CAG asimumunye maneno.ila jana nilijua maana ya kumumunya maneno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…