Huyu Rais ana akili nyingi sana

Yani haii Nchi wote tulisha Fanya mazezeta,kisha yule Majaliwa alisema kuwa akitangaza mishahara vitu vinapanda bei.basi kila MTU hiyo ndio sababu.
Sababu za kipumbavu kabisa.
 
Sio kimo ni KIMA cha chini.

Hata hivyo hongera kwa kiswahili kizuri ukilinganisha na nyang'au wengine.
Typo tu za kawaida jombaa, nilirekebisha baadaye kidogo. Shukran lakini kwa sahihisho lako. Hii lugha haijui mipaka bwamkubwa. Wenyeji wa kule Lamu na Kiwayuu, wa-amu, wakisikia ukizungumza hicho unachojua wewe kwamba ndio lugha fasaha, utasikia wakisema kwamba unawaharibia lugha yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…