Huyu Rais wa Senegal ana sababu gani za msingi kuhairisha uchaguzi ?

Huyu Rais wa Senegal ana sababu gani za msingi kuhairisha uchaguzi ?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Hili jamaa linalo ongoza Senegal lina sababu gani za msingi kuhairisha uchaguzi ? Au ndio upuuzi wa kung'ang'ania madaraka kama kawaida ya maviongozi ya Afrika ?

Hivi hivi Senegal inaweza kuingia kwenye machafuko ya wenyewe kwa wenyewe halafu baadae lawama anaanza kupewa marekani na ulaya.

Huyu mpuuzi aliingia madarakani kwa uchaguzi kwa nini yeye uchaguzi ana upiga dana dana huyu mwendawazimu ?
 
Hawa si ndio walitaka kuungana ECOWAS wakawaondoe wale wanajeshi waliopindua nchi ya Niger kumbe walikuwa wanaogopa mapinduzi yatahamia kwao.
 
Hili jamaa linalo ongoza Senegal lina sababu gani za msingi kuhairisha uchaguzi ? Au ndio upuuzi wa kung'ang'ania madaraka kama kawaida ya maviongozi ya Afrika ?

Hivi hivi Senegal inaweza kuingia kwenye machafuko ya wenyewe kwa wenyewe halafu baadae lawama anaanza kupewa marekani na ulaya.

Huyu mpuuzi aliingia madarakani kwa uchaguzi kwa nini yeye uchaguzi ana upiga dana dana huyu mwendawazimu ?
Uzalendo kwa viongozi wengi wa Kiafrika ni mtihani.
 
Hawa si ndio walitaka kuungana ECOWAS wakawaondoe wale wanajeshi waliopindua nchi ya Niger kumbe walikuwa wanaogopa mapinduzi yatahamia kwao.
kwann tuwalaumu wao wkt nyie ndo mlisapot mapinduz ss wanafuata nyayo zenu
 
Back
Top Bottom