Huyu Rayvanny ndiko alikofikia?

Mtoa mada kwanini umeweka picha ya mwanamke halafu maelezo ya Rayvanny?..huyo mrembo uliyemuweka pichani ni wa bongo movie au?,mbona kisu sana
Rayvanny huyo mkuu....amekua bwabwa siku hizoli
 
Daah aisee,nawapa pole wazazi na ndugu zake tu maana wamempoteza kijana tayari......kwahali hiyo sioni kama kuna usalama
 
Huoni mpaka umepata la kumzungumzia na kumwanzishia thread hapa!?
Yaani umetimiza lengo lake kikubwa sana, na kwa sababu hizo za kutaka watu wawape 'atenshen' ndio wao husuka, kuoaka wanja, kupiga picha na kina Paula Harmonize Masanja na vitu kama hivyo!!

Wenyewe inawalipa vizuri tu! Yaani mkate wanapeleka hom!!
 
Sasa kama ana lkwa TIGO kabakisha nini??
ACHA ASUKE TU
 
Natafuta hii salon na mimi nataka nisuke huku kwenye suruali.
 
Mchicha mwiba huyo kuna waarab wanaruka nae wapo wengi tu next time nitawataja
 
He is just living his life to the fullest, thats'so.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…