Rayvanny huyo mkuu....amekua bwabwa siku hizoliMtoa mada kwanini umeweka picha ya mwanamke halafu maelezo ya Rayvanny?..huyo mrembo uliyemuweka pichani ni wa bongo movie au?,mbona kisu sana
Kwahy na yy anapiga piga kichwa kama wanawake
Mkuu, kuna vile vimakofi mademu huwa wanajipiga nywele zikiwasha, kama namuona jamaa.
Wanaingia saloon za kike au za kiume kusukwa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utakuta dogo Inno amesuka ile style ya mirija.
Ndo maisha ya BongoHawa vijana wasanii ndio huku walikofikia mpaka kusuka yeboyebo za wanawake, hawa sio ddio wanaojiita vioo vya jamii?View attachment 1734840
Hawa vijana wasanii ndio huku walikofikia mpaka kusuka yeboyebo za wanawake, hawa sio ddio wanaojiita vioo vya jamii?View attachment 1734840
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anavaa kile kikofia cha kuzuia asilowane kichwani?
Kiwiving cap ashakuwa mchele huyu dogoanavaa kile kikofia cha kuzuia asilowane kichwani?
Bi dada, hizo nyonyo ni wewe?Katia mtindo[emoji23]