Huyu Rayvanny ndiko alikofikia?

Miaka ya 2008 mpka 2010 kuna jamaa pale udsm alikuwa anasuka, na cha ajabu alikuwa anasomea Ualimu [emoji2]
 
Huyu huwa ananikera sana mimi na sijui nani aliyemwambia akisuka anapendeza na sio kusuka tu bali hata pamba hazimkai japo anajitahidi kuvaa, mwengine ni mbosso, eti naye alisuka na sura yake ya mviringo hapendezi kabisa lkn nmeona amenyoa nadhani wamemwambia, inshort hata mondy pia akisuka hapendezi ila anapendeza akinyoa kiduku.

Hapa Tz wasanii wawili tu ambao walikuwa wanapendeza wakisuka ambao ni FA ambaye kwa ss amebadilika cjui ndio uzee mana kawa hovyo kweli kweli, na mwingine ni Babylon byser a.k.a Mr. Blue japo naye cku hz kayumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tukisema anapumuliwa, atakataa? Daslamu kuna pepo gani, vijana wanatoka mikoani mashababi wakakamavu kabisa. Wakishafika huko ndio kwisha habari.
 
Yaani hizo swagger za kusuka siyo kabisa, sipendi mkaka mzima eti ndiyo kioo cha jamii😬😬
 
Huwa najiuliza haya maumivu ya yebo yebo bado kuwashwa kakichwa na joto lote lile wanavumilia tu kisa usanii aiseee
Mwisho wa siku wakiweza kuvumilia tabu zote hizo kama nyinyi, wanaishia kutamani kuvumilia na ukuni pia..

Mbona wasanii wengi wakubwa tu duniani hawana upuuzi huu.
 
Mchicha mwiba huyo kuna waarab wanaruka nae wapo wengi tu next time nitawataja
Nadhani hata yule demu wake kamkimbia. Lazima sababu Itakuwa hii. Yaani ni 90% choko huyu dogo. Nadhani mondi ndo kazi yake kutafuta vijana na kuwa fanya machoko. Maana hata yule mwimba kaswida nae simuelewi
 
Huwa najiuliza haya maumivu ya yebo yebo bado kuwashwa kakichwa na joto lote lile wanavumilia tu kisa usanii aiseee
Wanawashwa sana na hiyo misuko na nywele zao hunuka ila usanii ndo unafanya wagangamale
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwisho wa siku wakiweza kuvumilia tabu zote hizo kama nyinyi, wanaishia kutamani kuvumilia na ukuni pia..

Mbona wasanii wengi wakubwa tu duniani hawana upuuzi huu.
 
Mim binafsi hua simwelewagi hata uimbaji wake utasikia kiiifo kiiifo sjui koroona, koroona,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…