Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbavuSawa huwa unapikwaje ?
Nchi Ina Wahuni SanaKusonga ugali mpaka aite waandishi? Kazi kwelikweli
😃😁😅😅😄😄Halafu kuna sisi ambao hata kusonga kilo moja ya ugali hatuwezi!
Muacheni RC wa watu, huo ugali kuugeuza sio mchezo.
PumbafuSijui huwa mnakurupuka nini kuanzisha Thread zisizo na maan, Shenzi kabisa.
Kama haina maana mbona umeisoma?Sijui huwa mnakurupuka nini kuanzisha Thread zisizo na maan, Shenzi kabisa.
Inategemea: ugali wa muhogo ni mgumu sana kugeuza lakini ugali wa sembe ni rahisi sana, unageuza kwa mkono mmoja.Halafu kuna sisi ambao hata kusonga kilo moja ya ugali hatuwezi!
Muacheni RC wa watu, huo ugali kuugeuza sio mchezo.
Ningekuwa fundi wake nisingekula ugali ule kwani jasho lake lote limeshaangukia ndani ya ugali huo. Katika kupika ugali hakikisha kichwa chako hakikai juu ya sufulia kuzuia mvuke usikutoe jashoa likaangukia ndani ya ugali. Urefu wa mwiko lazima uwe proportional na ukubwa wa ugali unaopika
Mpaka wewe...?..🙄🙄Halafu kuna sisi ambao hata kusonga kilo moja ya ugali hatuwezi!
Muacheni RC wa watu, huo ugali kuugeuza sio mchezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu kuna sisi ambao hata kusonga kilo moja ya ugali hatuwezi!
Muacheni RC wa watu, huo ugali kuugeuza sio mchezo.
Sio kwamba siwezi kupika ugali, naweza na kujua sana.Mpaka wewe...?..🙄🙄
Ina maana huwezi kupika ugali wa mafundi ?.....njoo huku kwa wasukuma upate mafunzoSio kwamba siwezi kupika ugali, naweza na kujua sana.
Ila usizidi nusu kilo, siwezi na nitaumwa!