Huyu RC Mdeme sidhani kama huwa anapika kwake.Ugali huwa haupikwi hivi.

Halafu kuna sisi ambao hata kusonga kilo moja ya ugali hatuwezi!
Muacheni RC wa watu, huo ugali kuugeuza sio mchezo.
πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„
 
Anafanya warm-up muda wa uchaguz unakaribiaa

Kuna clip ya mtoto anasonga ugalii yaani dogo Yuko fit
 
Hii ni aina nyingine ya utapeli yaani kupika ugali anapiga picha kabisaaa!!!!
 
Halafu kuna sisi ambao hata kusonga kilo moja ya ugali hatuwezi!
Muacheni RC wa watu, huo ugali kuugeuza sio mchezo.
Inategemea: ugali wa muhogo ni mgumu sana kugeuza lakini ugali wa sembe ni rahisi sana, unageuza kwa mkono mmoja.
 
Sio kwamba siwezi kupika ugali, naweza na kujua sana.
Ila usizidi nusu kilo, siwezi na nitaumwa!
Ina maana huwezi kupika ugali wa mafundi ?.....njoo huku kwa wasukuma upate mafunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…