UTO hawana akiliKocha tena?🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTO hawana akiliKocha tena?🤣
😂😂😂 Nilichanganya tu ila nilimaanisha refaMkuu milembe pamejaa.. Jikaze kwanza turuhusu wenye nafuu ili upate kitanda
Kocha badala ya refa
Ningetoa PenaltyMchezaji unaamuliwa upige faulo.
Mchezaji unatoka nje ya uwanja na kuanza kujifuta jasho na taulo.
Wewe ungekuwa refa ungefanyeje?
kipa uliutaka mwenyewe, refa kampatia.Mchezaji unaamuliwa upige faulo.
Mchezaji unatoka nje ya uwanja na kuanza kujifuta jasho na taulo.
Wewe ungekuwa refa ungefanyeje?
Leo kulikuwa na uchale mwingi sn, hata goli la kwanza ni uchale kuliko wa Chaplin.Tangu nianze kufatilia soka sijaona kituko cha refa kuwa na haraka ya kutoa kadi mbili kwa pamoja kama huyu refa wa leo. Ni aibu kwa ligi ya 4 Afrika.
Hii haraka ya nini? Soka letu lina safari ndefu sanaView attachment 3227138
Kwani waliochomoa ni Simba au fountain?kesi ya goli ni yao Simba wenyewe.Refa anatoa kadi kwa hasira za Fountain kuchomoa goli.
Hawaelewi hawa mashaeiki maandazi kipa alizidisha maringo.Naukumbuka mchezo wa Al ahly TripoliMchezaji unaamuliwa upige faulo.
Mchezaji unatoka nje ya uwanja na kuanza kujifuta jasho na taulo.
Wewe ungekuwa refa ungefanyeje?
Alikuwa katika harakati za kumwokoa kolo,yupo kwenye payroll ya Dubai.Tangu nianze kufatilia soka sijaona kituko cha refa kuwa na haraka ya kutoa kadi mbili kwa pamoja kama huyu refa wa leo. Ni aibu kwa ligi ya 4 Afrika.
Hii haraka ya nini? Soka letu lina safari ndefu sanaView attachment 3227138
Naweza kusema huyu kocha kachukua maamuzi sahihi ya kijasiri. Hivyo ndivyo kocha unapaswa kuchukua maamuzi. Ila Simba tutaonana msimu ujao maana ligi imeisha