Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hii sio Yanga na Singida Bs bali ni Yanga na IhefuHayo maigizo tuu, subiri kipindi Cha pili uone linatengenezwa tukio Moja mahususi na wote linatufumba macho Sasa kama gadiala ni kocha wa timu zote mbili zinazocheza na kihistoria ni timu A na B Kuna kitu hapo? Subiri uone
Hii sio Yanga na Singida Bs bali ni Yanga na Ihefu
Maamuzi yapi aliyowakazia Simba wewe?? Refa Yuko fair Kwa Kila timuAna wa frustrate sana Simba.... [emoji23][emoji23][emoji3][emoji23] Anawanyima fouls na hata wakichezewa rough anawachunia. Yaani kifupi simba leo lazima wapigwe iwe iweje.
Na anawafundisha kuwa ngangali. Anawaumia meno kinyama. Coastal wapigeni hao mapaka.... Leo wakijitahidi ni draw.
Sasa kiungo konokono unategemea mpira uchangamkeje Kwa mfanoAmesababisha mpira umepooza sana
Sawa nguruwe pori.Ana wa frustrate sana Simba.... [emoji23][emoji23][emoji3][emoji23] Anawanyima fouls na hata wakichezewa rough anawachunia. Yaani kifupi simba leo lazima wapigwe iwe iweje.
Na anawafundisha kuwa ngangali. Anawaumia meno kinyama. Coastal wapigeni hao mapaka.... Leo wakijitahidi ni draw.
Nimekaa hapa. Simba leo hashindi. Piga ua.
Huu ndo ushabiki wa kitanzania mnaojivunia? Ama kweli soka lenu kivyenugyenu. Mwamuzi anaboronga lakini anatetewa na mashabiki wa upande wa pili!Ana wa frustrate sana Simba.... [emoji23][emoji23][emoji3][emoji23] Anawanyima fouls na hata wakichezewa rough anawachunia. Yaani kifupi simba leo lazima wapigwe iwe iweje.
Na anawafundisha kuwa ngangali. Anawaumia meno kinyama. Coastal wapigeni hao mapaka.... Leo wakijitahidi ni draw.
Nimekaa hapa. Simba leo hashindi. Piga ua.
Sawa mbwaSimba ikishinda leo niitwe mbwa. Nimekaa hapa. Simba leo hashindi. Piga ua.