G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Uko wapi ndugu yangu tunatoka mkwakwani muda huu mpira ndio umeisha hapa bao ni zile zile 3 kama uamini uliza wanandoaAna wa frustrate sana Simba.... ππππ Anawanyima fouls na hata wakichezewa rough anawachunia. Yaani kifupi simba leo lazima wapigwe iwe iweje.
Na anawafundisha kuwa ngangali. Anawaumia meno kinyama. Coastal wapigeni hao mapaka.... Leo wakijitahidi ni draw.
Nimekaa hapa. Simba leo hashindi. Piga ua.
Safi nyie nguruwe wa mjini huwa mnajiona ni bora kuliko sisi wa porini. Wakati nyie mnaliwa anytime.Sawa nguruwe pori.
Nlikuwa nawapanda majike mengine ....umeona wivu? πWe Mbwa uko wapi uje ubweke huku
Mshapata sababu ya kutokushinda Leo. Yanga tulifungwa na wadogo zetu ihefu hatukujitetea wala kutoa sababu. Huu mchezo tu
Inachekesha caze Alisema wachezaji wanafatiki ivyo ndio mana tumefungwa uyu anasema atuja toa kizingizioSi mlisema wachezaji walichoka jaman