we jama unachekesha nn asa atachukuaje ballon d or kama hajaxhukua ubingwa wwte?? nimechek kwa saut sana mm salah namkubal sana kama mwafrika mwenzang ingawa ana ngoz nyeupe sio mbaya ki mfano anakujaje apa kati keshakosa Ligi,, UEFA hapat na Egypt haifik popote WC ss mbn kama sikuelew apo au hujui procedure za B d r???Liver wachukue kombe au wasichukue msimu huu huyu jamaa kaonyesha kiwango cha hali ya juu sana. Anastahil i Ballon d'or.
Ukitajiwa mchezaji ambae alichukua bila kombe lolote utasemaje?we jama unachekesha nn asa atachukuaje ballon d or kama hajaxhukua ubingwa wwte?? nimechek kwa saut sana mm salah namkubal sana kama mwafrika mwenzang ingawa ana ngoz nyeupe sio mbaya ki mfano anakujaje apa kati keshakosa Ligi,, UEFA hapat na Egypt haifik popote WC ss mbn kama sikuelew apo au hujui procedure za B d r???
Avatar yako inaonyesha tayari wewe ni hater wa CR7. Fans wengi wa maradona ni fans wa messi na ni sworn in haters wa CR7.
Kuweka kumbukumbu sawa, ana 4 trophies za champions league, ana 5 medals za ballon D'or, anazo trophies zote ambazo Messi anazo upande wa club na anayo ya european championship (european nations). Amecheza ligi mbili tofauti na zote amechafua inavyotakiwa.
Mimi pia namkubali Messi ila natambua unyama wa CR7, sio kama wewe!
Ndo mana Waandaaji wa tuzo wame Apologize kwa Iniesta kua walifanya biasKwa nini asipewe iniesta aliyeshinda world cup!?
Unachosema ni sawa ndo mana uingereza wamempa. Sasa je jiulize Kwa msimu huu mchango wa Salah ni mkubwa kuliko wa Mesi. Mana Mesi hadi nw anaongoza kwa magoli na bado katwaa vikombe viwiliPoint yangu ni kwamba KUBEBA MAKOMBE hakujawahi kuwa kigezo cha messi na ronaldo kupewa ballon d'or sababu kila msimu huwa kuna timu zinachukua Treble ulaya yaani LIGI, FA cup na champions league ila hazijawahi kutoa player of the year kivipi leo ndio mtumie hiki kma kigezo cha kumnyima salah???
Salah anastahili kwa mchango wake kwa club haijalishi mchango umezaa kombe au lah ila tukisema kombe ndio iwe kigezo ronaldo na messi wangezisikia ballon d'or kwenye bomba
messi mwenyewe aliwahi chukua bila kombeDuh! Balon bila kombe mzee?
Nitajie huo mwakamessi mwenyewe aliwahi chukua bila kombe
2010 Messi alibeba kombe gani??Duh! Balon bila kombe mzee?
2009-2010 Mess alichukua La liga...2010 Messi alibeba kombe gani??
Harry kane mwaka jana alibeba kombe gani au Salah mwaka huu kabeba kombe gani Van persie 2012 Alibeba kombe gani??
Liver wachukue kombe au wasichukue msimu huu huyu jamaa kaonyesha kiwango cha hali ya juu sana. Anastahil i Ballon d'or.
Kwangu mimi ninavyoona, Salah afanye juhudi aipe Liverpool UEFA Champions League, na baadaye aisaidi Misri ifike robo fainali au nusu ya Kombe la Dunia kwa hapo naona itapendeza zaidi japokuwa nakubali kaonesha juhudi sana msimu huuLiver wachukue kombe au wasichukue msimu huu huyu jamaa kaonyesha kiwango cha hali ya juu sana. Anastahil i Ballon d'or.