Huyu secretari vipi?

Huyu secretari vipi?

hta ka anapata ile kitu tamu ila lazma muda wa kazi kuwe na heshima.
 
Kuna kithibitisho gani kama huyo nisecretary?? Msitudhalilishe bwana aahhh huo uonevu!!
 
Mpotezee ata acha...........anajua anachokifanya,just ignore her.....shida yako unaenda unalegea kabisa pale.....kama anakunyima usingizi mwambie,akikupiga chini mwambie ulikuwa unamtania hukumaanisha na mwambie kuwa ofisini wanalalamika na clients pia kwa namna anavyovaa,aache au kibarua ndo kiwe kimeota nyasi.....na ujanja wako wote,huna lolote.................lol:smile-big:

Hili neno, Thanks! :love:
 
Ananyoosha miguu jamani kuikunja siku nzima sio vizuri kwa afya
 
Mvue viatu mpake kucha rangi ( ya nyumba) kwa brashi
 
mpe sheria ya kuvaa hijab ya ninja style na nguo mpaka ardhini.
 
Back
Top Bottom