Huyu shangazi amenichanganya akili, inabidi nizae naye

Huyu shangazi amenichanganya akili, inabidi nizae naye

Kwa utamu alionao, najua nikizaa naye itakuwa nikugusa tu; kama sijaweka alama yoyote, nikimuhitaji huko mbeleni anaweza kunizingua.
Kuzaa Ni Zaid ya kuweka alama,
Kumbuka Kuna kuyabeba majukumu ya malezi na matunzo ya Mtoto.

Kama uchumi wako mdg
mwanamke hajishughulishi na pasua kichwa, utazijutia Sana shahawa zako.
 
Hii ni laana kwako maana umri hamuendani kabisa, achana naye mara moja na unipe mimi hizo contacts zake, Mungu atakubariki tu na kusamehe dhambi zako.
😀 😀 😀 hiyo laana haipo mkuu, acha nifurahie mema ya dunia, siku mbili tatu hizi makunyanzi yote yameisha, nimekuwa kama kijana wa miaka 20.
 
Ni aina ya wazee tuliobarikiwa katika kizazi cha watoto wa Dar es salaam , sasa utoke ulikotoka udhani mimi nitakuwa na adabu na heshima ikiwa wazee walionikuza ndiyo kama huyu mzee Pimbi[emoji848]
Sasa mjukuu wangu, sisi ni wazee wakidigitali achana na wale wazee wazamani ambao walikuwa wakitumia ulimbo na ulindi katika kupata moto.
 
Sijaongelea utundu mkuu,
Unapoongelea changamoto za kuzaa na mtu, habari za utundu kitandani hauna nafas. Kuna wanawake Ni vichomi mno.
Kutokana na muonekano wake, nitakuwa nimeweka mbegu sehemu sahihi; ata mtoto atakayetoka atakuja kunisifu kwa kumchagulia mama mzuri.
Kuhusu hizi changamoto zingine za kibinadamu, tutapambana nazo kufuatana na mazingira.
 
Back
Top Bottom