Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Siku za mwisho wa CCMMkiyaona haya basi mjue hizo ni dalili za siku za mwisho asema Bwana wa Majeshi
Awe makini maaana siku hizi haijulikani vizuri nani anateka serikali au chadema ....... serikali wanaweza kukuteka kukuzima usihongeee ......chadema wanaweza kukuteka ili wachonganishe serikali na wananchi na wapate huruma ....so katika kipindi hiki watu wawe makini sana.....maaana hao nilio wataja wote wanafanya haya mamboAmenishtua sana. Sijui anajiamini nini huyu.
View: https://x.com/lifeofmshaba/status/1833607835252625518?t=68eo1ZL4cwRhCDx1btviCQ&s=19
Msitutekee sheikh wetu tafadhaliAmenishtua sana. Sijui anajiamini nini huyu.
View: https://x.com/lifeofmshaba/status/1833607835252625518?t=68eo1ZL4cwRhCDx1btviCQ&s=19
Hivi kweli ulipokuwa unaandika maneno haya kichwa na kiwiliwili vilikuwa connected?Awe makini maaana siku hizi haijulikani vizuri nani anateka serikali au chadema ....... serikali wanaweza kukuteka kukuzima usihongeee ......chadema wanaweza kukuteka ili wachonganishe serikali na wananchi na wapate huruma ....so katika kipindi hiki watu wawe makini sana.....maaana hao nilio wataja wote wanafanya haya mambo
Imewapa uhuru mkubwa sana.Sheria TISS ndio shidaaaa
Kama kweli hizi ni dalili za mwisho, basi Bwana yu karibu kuja. Tujiandae.Mkiyaona haya basi mjue hizo ni dalili za siku za mwisho asema Bwana wa Majeshi
Mavuno ni mengi watenda kazi wachacheKama kweli hizi ni dalili za mwisho, basi Bwana yu karibu kuja. Tujiandae.
Haunishindi mimi nilivyostuka. Nilivyomaliza tu kuiangakia nikajikuta nimebeba begi langu na kukimbilia airport, sasa hivi nipo Amsterdam nafanya transit, ingawa bado sijajua nakimbilia wapi?Amenishtua sana. Sijui anajiamini nini huyu.