Huyu Shekhe Mwaipopo anafanya Waislamu tuonekana hatuna akili

Huyu Shekhe Mwaipopo anafanya Waislamu tuonekana hatuna akili

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Huyu shekhe anayejiita mwaipopo anafanya waislamu wote tuonekana hatuna akili sasa yule padri wa katoliki anaongea vitu vya ukweli na sahihi halafu yeye anakuja front na kuja kutuambia takataka zake as if kama na sie waislamu wenye akili tuna akili za kijinga hivi huyu jamaa anaingia kwa gia za udini wake.

Waislamu tuache kulalamika elimu ni nuru tusome elimu ya dini na elimu ya duniani kwasababu mwenyezimungu ametuhimiza tusome na kitu cha mwanzo ambacho mtume Muhammad(S.A.W) alichoambiwa ni iqra kwa maana soma na kiukweli hamna muislamu ambae amesoma elimu ya dini na Akhera akawa mjinga mjinga.
 
Shida ya waislam wanapenda watu kama hao akina mwaipopo ambao kutwa kucha kutukana ukristo na kutukana wakristo na kutukana wachungaji na mapdre

Waislam wanapenda watu wenye mihemuko namna hiyo watu ambao kudhalilisha ukristo na watumishi wa MUNGU kwao ndo ibada
 
Lini mwaipopo amekuwa muislam? Ni suala la muda tu mtamjua ni muislam au la. Mmechelewa sana kumjua, mmemtumia kuukashifu Ukristo, sasa tulieni awafanye hamnazo
 
Sheikh gani yule, ni abrakadabra tu, kiboko yake ni simbaulanga
 
Usige
Shida ya waislam wanapenda watu kama hao akina mwaipopo ambao kutwa kucha kutukana ukristo na kutukana wakristo na kutukana wachungaji na mapdre

Waislam wanapenda watu wenye mihemuko namna hiyo watu ambao kudhalilisha ukristo na watumishi wa MUNGU kwao ndo ibada
Usigenerilize mkuu kwahiyo waislamu wote wapo hivyo?
 
Kuusema vibaya ukristo hakutomuacha salama, hiyo ni dhambi mbaya sana ya kufuru. Hao hao anaowatumikia watamuona ni kinyau na kuanza kumsulubu, watamkataa na kumuona ni sheikh feki. Muda bado upo ni bora atubu aombe toba kabla ya ghadhabu ya kukufuru haijamshukia. Adhabu zingine huanza hapahapa duniani kabla ya kwenda kuzimu
 
Kina mwa wamejaa upande ule kuliko upande huu aliko mwaipopo
 
Back
Top Bottom