Huyu Shekhe Mwaipopo anafanya Waislamu tuonekana hatuna akili

Huyu Shekhe Mwaipopo anafanya Waislamu tuonekana hatuna akili

Shida ya uislam hata mimi naweza amka kesho nikajiita sheikh,

Nadhan walutheri, anglican and roman wako fit kwenye hili. Ukizingua unapigwa pin safi.
Unafikiri uislam unaweza kujiita sheikh tu? Huyo hana elimu ya aina yoyote!

Huyo ni muhuni kama wahuni wengine! Kwenye dini napo kuna wahuni.
 
Kuusema vibaya ukristo hakutomuacha salama, hiyo ni dhambi mbaya sana ya kufuru. Hao hao anaowatumikia watamuona ni kinyau na kuanza kumsulubu, watamkataa na kumuona ni sheikh feki. Muda bado upo ni bora atubu aombe toba kabla ya ghadhabu ya kukufuru haijamshukia. Adhabu zingine huanza hapahapa duniani kabla ya kwenda kuzimu
Kwanza katika uislam maulamaa wanasema dini haijaja kuwatenganisha bindamu. Ukiona dini inatenganisha binadamu hiyo siyo dini!
 
Sheik Mwaipopo kavamia Dini ya watu.
Alitakiwa kuwa Mchungaji Mwaipopo
 
Si kweli. Kwani mnashindwa nini kwenda kumtia adabu au mnatufanya nasi hamnazo kama nyinyi?
 
Back
Top Bottom