Huyu Shekhe Mwaipopo anafanya Waislamu tuonekana hatuna akili

Shida ya uislam hata mimi naweza amka kesho nikajiita sheikh,

Nadhan walutheri, anglican and roman wako fit kwenye hili. Ukizingua unapigwa pin safi.
Unafikiri uislam unaweza kujiita sheikh tu? Huyo hana elimu ya aina yoyote!

Huyo ni muhuni kama wahuni wengine! Kwenye dini napo kuna wahuni.
 
Kwanza katika uislam maulamaa wanasema dini haijaja kuwatenganisha bindamu. Ukiona dini inatenganisha binadamu hiyo siyo dini!
 
Sheik Mwaipopo kavamia Dini ya watu.
Alitakiwa kuwa Mchungaji Mwaipopo
 
Si kweli. Kwani mnashindwa nini kwenda kumtia adabu au mnatufanya nasi hamnazo kama nyinyi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…