Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Kwani wewe unapendezwa na anavyotukana ............???Eti management ya msanii inafunga safari kwenda kumkamata mtukanaji wa kwenye mitandao
[emoji87] [emoji87]
Mkuu....Hivi nacho sindwa kuelewa ni nini, Instagram haihusiani na matumizi mabaya ya sheria za mitandao? Kule ndiyo kumejaa mambo ya ajabu TCRA sijui wanafanya kazi gani
We jamaa,kwanini haupendi maendeleo ya vijana wa wcb kila siku we nimajungu vijana wa alikiba hamuelewekiEti management ya msanii inafunga safari kwenda kumkamata mtukanaji wa kwenye mitandao
[emoji87] [emoji87]
Mkuu lkn hivi ni kweli management ya msanii yote ilienda kumkamata mtukanaji wa kwenye mitandaoWe jamaa,kwanini haupendi maendeleo ya vijana wa wcb kila siku we nimajungu vijana wa alikiba hamueleweki
We jamaa,kwanini haupendi maendeleo ya vijana wa wcb kila siku we nimajungu vijana wa alikiba hamueleweki
We jamaa,kwanini haupendi maendeleo ya vijana wa wcb kila siku we nimajungu vijana wa alikiba hamueleweki
Utakamata watu wangapi?Kwani wewe unapendezwa na anavyotukana ............???
Maendeleo ni management na vitambi vyao kukimbizana kumtafuta mjinga anayetukana watu kwenye mitandao?We jamaa,kwanini haupendi maendeleo ya vijana wa wcb kila siku we nimajungu vijana wa alikiba hamueleweki
Mkuu jiulize kwa nini jamaa amepanic wakati mimi sijataja jina la hao mameneja.Mkuu lkn hivi ni kweli management ya msanii yote ilienda kumkamata mtukanaji wa kwenye mitandao
Huyo atakuwa mfuasi wa kile chama cha kutetea watukanajiKwani wewe unapendezwa na anavyotukana ............???
Punguza mapovu,Mkuu huyo sio kijana ni babu wa miaka 60 sema akili zimeganda kwenye teenage ndio maana kutwa hapitwi na story za kwenye Facebook.