Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Baada ya kusikia kijana kapewa dhamana nikadhani itakuw vyema dogo atakuwa amekuw sasa kutokan na balaa lililomkuta na post zake insta sasa leo nafungua insta nakuta ni kama ameweuka sasa matusi anayotoa huy dogo sio ya kuvumiliwa sijui kama ni mtu mwingine mana yule kijana aliyekamatw sura yake haiendani na haya matusi