Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Yani meneja na kitambi chako unaitwa kukimbizana na mjinga aliyemtukana msanii wako kwenye mitandao?Aliyemkamata ni shilole wakishirikiana na wastara sema baada ya kukamatwa ndo na kina tale na sallam wakaitwa
Kwanza ww unachotetea ni nini haswa....tuseme unapendezwa na ayo matusi ya kwny mitqndao watu wanatukqniwa adi wazaz ww unafurahia tu na kutumia majina ya watu vibayaYani meneja na kitambi chako unaitwa kukimbizana na mjinga aliyemtukana msanii wako kwenye mitandao?
Maajabu hayaEti management ya msanii inafunga safari kwenda kumkamata mtukanaji wa kwenye mitandao
[emoji87] [emoji87]
Huenda hujui unachokiongeaAliyemkamata ni shilole wakishirikiana na wastara sema baada ya kukamatwa ndo na kina tale na sallam wakaitwa
Sipendezwi na matusi ila nashangazwa na immaturity ya hao mameneja wanaoteswa na matusi ya haters wanayotukana mitandaoni.Kwanza ww unachotetea ni nini haswa....tuseme unapendezwa na ayo matusi ya kwny mitqndao watu wanatukqniwa adi wazaz ww unafurahia tu na kutumia majina ya watu vibaya