Tapeli, washawahi nitumia we bluetick kama nilivyofanya, hawakusumbui tena.Habari za mchana wa Jf..
Mtu nisie mjua namba inaonyesha sio ya Tz amenitext Wasap kwa jumbe hiyo chini ,kutoka na utapeli wa mitandaoni kuenea mimi japo sina uzoefu na mambo hayo ila nahisi moja kwa moja ni tapeli.
Naomba wazoefu mtu dondoo kuhusu matapeli wa aina hawa kama ni kweli tapeli ili tusije kuingia mkenge kichwa kichwa wakati hatujui.View attachment 2775292
Sifa ya kwanza ya kazi huwa lazima u-apply ndo wakutumie info's.Habari za mchana wa Jf..
Mtu nisie mjua namba inaonyesha sio ya Tz amenitext Wasap kwa jumbe hiyo chini ,kutoka na utapeli wa mitandaoni kuenea mimi japo sina uzoefu na mambo hayo ila nahisi moja kwa moja ni tapeli.
Naomba wazoefu mtu dondoo kuhusu matapeli wa aina hawa kama ni kweli tapeli ili tusije kuingia mkenge kichwa kichwa wakati hatujui.View attachment 2775292
Mbona iko wazi mkuu, huwezi kuombwa kufanya kazi bali kazi huombwaHabari za mchana wa Jf..
Mtu nisie mjua namba inaonyesha sio ya Tz amenitext Wasap kwa jumbe hiyo chini ,kutoka na utapeli wa mitandaoni kuenea mimi japo sina uzoefu na mambo hayo ila nahisi moja kwa moja ni tapeli.
Naomba wazoefu mtu dondoo kuhusu matapeli wa aina hawa kama ni kweli tapeli ili tusije kuingia mkenge kichwa kichwa wakati hatujui.View attachment 2775292
Wacha wee 🤣Ahsanteni kwa miongozo mliotoa ,nimeenda kumpa jibu zuri sana kwa hakika atalifurahia ..
Hawa watu ni sugu. Hata ukiwatukana ni kupoteza muda tu.Ahsanteni kwa miongozo mliotoa ,nimeenda kumpa jibu zuri sana kwa hakika atalifurahia ..
Halafu mshahara uwe mkubwa hivyo. Siku zote wanasema ukiona unaitiwa fursa ujue wewe ndiye fursa.Mbona iko wazi mkuu, huwezi kuombwa kufanya kazi bali kazi huombwa
Hawa watu wakati mwingine wanaweza kupiga hata simu. Ukipigiwa simu na kama unahisi ni tapeli yuko Bongo wewe pokea halafu useme kwa sauti ya kujiamini na yenye mamlaka ''Kituo cha polisi cha kati, kitengo cha cyber crime, nikusaidie namna gani''! Nakupia anakata simu haraka sana. Kama amepiga kutoka nje wewe sema kwa kujiamini ''INTERPOL office, Cyber crime and Fraud department, how can I help you''Sijawatukana nimemQuote No huku na nikijaza emoji za kucheka kama page 1 hivi.
Habari za mchana wa Jf..
Mtu nisie mjua namba inaonyesha sio ya Tz amenitext Wasap kwa jumbe hiyo chini ,kutoka na utapeli wa mitandaoni kuenea mimi japo sina uzoefu na mambo hayo ila nahisi moja kwa moja ni tapeli.
Naomba wazoefu mtu dondoo kuhusu matapeli wa aina hawa kama ni kweli tapeli ili tusije kuingia mkenge kichwa kichwa wakati hatujui.View attachment 2775292
Habari za mchana wa Jf..
Mtu nisie mjua namba inaonyesha sio ya Tz amenitext Wasap kwa jumbe hiyo chini ,kutoka na utapeli wa mitandaoni kuenea mimi japo sina uzoefu na mambo hayo ila nahisi moja kwa moja ni tapeli.
Naomba wazoefu mtu dondoo kuhusu matapeli wa aina hawa kama ni kweli tapeli ili tusije kuingia mkenge kichwa kichwa wakati hatujui.View attachment 2775292
Hii mbinu wacha niichukue.Hawa watu wakati mwingine wanaweza kupiga hata simu. Ukipigiwa simu na kama unahisi ni tapeli yuko Bongo wewe pokea halafu useme kwa sauti ya kujiamini na yenye mamlaka ''Kituo cha polisi cha kati, kitengo cha cyber crime, nikusaidie namna gani''! Nakupia anakata simu haraka sana. Kama amepiga kutoka nje wewe sema kwa kujiamini ''INTERPOL office, Cyber crime and Fraud department, how can I help you''