mng'oa kucha
Senior Member
- Jul 31, 2013
- 150
- 179
Nchi ya Kenya ambayo ni majirani zetu wako katika vuta nikuvute ya uchaguzi baada ya uchaguzi wao kuingia dosari na kufutiliwa mbali na mahakama kuna maandamano yanayo endelea sehemu mbali mbali nchini humo ambapo kama ujuavyo maandamano huambatana na vurugu na wizi.
Kifupi kwa sasa Kenya sio salama kuzuru ambapo nchi tofauti zimeweka travel ban yaani zuio la kusafiri kwenda Kenya kuna watu walikuwa wanasema tuna mengi ya kujifunza kwa uchaguzi unaoendelea Kenya na hali ya kidemokrasia kiukweli sasa hivi siwasikii tena ifuatayo ni picha ya mbunge wa jimbo la embakasi anayejulikana kama Babu owino, hii ni baada ya kukaa rumande kwa muda wa siku 2 kwa tuhuma za uchochezi ambapo alipokuwa jukwaani alisema "kama Gaddafi alitolewa na wananchi, kama Gbgo alitolewa na wananchi na oama Jammeh pia alitolewa na wananchi wewe ni nani wewe ni mtoto wa mbwa"
Kifupi kwa sasa Kenya sio salama kuzuru ambapo nchi tofauti zimeweka travel ban yaani zuio la kusafiri kwenda Kenya kuna watu walikuwa wanasema tuna mengi ya kujifunza kwa uchaguzi unaoendelea Kenya na hali ya kidemokrasia kiukweli sasa hivi siwasikii tena ifuatayo ni picha ya mbunge wa jimbo la embakasi anayejulikana kama Babu owino, hii ni baada ya kukaa rumande kwa muda wa siku 2 kwa tuhuma za uchochezi ambapo alipokuwa jukwaani alisema "kama Gaddafi alitolewa na wananchi, kama Gbgo alitolewa na wananchi na oama Jammeh pia alitolewa na wananchi wewe ni nani wewe ni mtoto wa mbwa"