Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,300
Bonobo chimp katika ubora wako!Usikute wewe mwenyewe huwa unawatusi watoto wako "mbwa wewe" na unaona sawa tu,ila akiitwa hivyo huyo unayemuabudu unatokwa povu!! Je angeitwa mtoto wa mbwa wa hapa home!! Si ungekufa kabisa?
Trump na obama waliitwa muth********z ina maana wamarekani wanafanya hivyo kwa mama zao ? Ni hasira tu mkuu the govt should understand watafunga wangapi?Mtu amwite Rais Mbwa.?
Yani Maana yake kenya ni nchi ya ma mbwa..
Mbona mange yupo huru......au anamuitaga CHIHUAHUA ......Huyo alimuita Rais Mbwa, sasa ulitaka aachwe tu
anhaa kumbeAnafurahia dhamana.
....kwa sababu ni wapumbavu kweli !Mbona wengine huku kwetu wanawaita watanzania wenzao wapumbavu na malofa, wengine wanawaita wapumbavu kabisa lakini hawajachukuliwa hatua yeyote
......au uchwara, maana yake Watanzania ni wachwara !?Mtu amwite Rais Mbwa.?
Yani Maana yake kenya ni nchi ya ma mbwa..
Rais akikuita lofa au mjinga na wakati no mjinga kweli kwani kuna shida ati wajameni???
WaAfrika tunataka Demokrasia bila ya kujua Demokrasia ina mipaka na taratibu zake. Demokrasia sio matusi na kejeli katika majukwaa ya Siasa. Babu Owino and the likes ni mfano tosha wa wahuni waliojificha nyuma ya mwamvuli wa Siasa na kuinajisi Demokrasia.
Huwezi kumuita Rais wa nchi Mbwa ukategemea vyombo vya Dola vikuletee "Gift basket"!
Wewe ni mmoja kati ya hao niliowazungumzia hapo awali.UNGEJUA MAANA YA DEMOCRACY HATA USINGEPOVUKA HIVYO
MIMI NIKIKUITA MBWA JE UNAKUWA MBWA KWELI?
UHURU WA KUJIELEZA BILA KUINGILIA UHURU WA MWENZIO. UNGEJUA MAANA YAKE USINGEPOVUKA
NIKISEMA WEWE MWIZI, NAKUKUFANANISHA NA MNYAMA WAZANI HAYA MAMBO NI SAWA?
ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU
Wewe ni mmoja kati ya hao niliowazungumzia hapo awali.
Pathetic swine!