Huyu sio mwizi au jambazi ni Mbunge

Mtu amwite Rais Mbwa.?
Yani Maana yake kenya ni nchi ya ma mbwa..
Trump na obama waliitwa muth********z ina maana wamarekani wanafanya hivyo kwa mama zao ? Ni hasira tu mkuu the govt should understand watafunga wangapi?
 
Mbona wengine huku kwetu wanawaita watanzania wenzao wapumbavu na malofa, wengine wanawaita wapumbavu kabisa lakini hawajachukuliwa hatua yeyote
....kwa sababu ni wapumbavu kweli !
How come mtu uliyemuimba fisadi, akaje kukuamrisha 'zungusha mikono zungushaa !' .....au umpigie deki barabara.
 

UNGEJUA MAANA YA DEMOCRACY HATA USINGEPOVUKA HIVYO

MIMI NIKIKUITA MBWA JE UNAKUWA MBWA KWELI?

UHURU WA KUJIELEZA BILA KUINGILIA UHURU WA MWENZIO. UNGEJUA MAANA YAKE USINGEPOVUKA

NIKISEMA WEWE MWIZI, NAKUKUFANANISHA NA MNYAMA WAZANI HAYA MAMBO NI SAWA?

ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU
 
Wewe ni mmoja kati ya hao niliowazungumzia hapo awali.
Pathetic swine!
 
Atawashinda mchana kweupe. Lawyers watacheza na maneno. He was "smart" enough not to mention names. Wanaweza kusema kwa kutamka "wewe ni nani...." alimaanisha yeyote atakayetaka kung'ang'ania madaraka ya aina yoyote ile. Usicheze na advocates wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…