Huyu sista du mbona anapenda 'kiki' sana

Akufunguka live kama anataka kugongwa ila sasa jaman umbembeleze kidume mwenzio akupelek driving school na akitak kumfanya lolote yupo tayar duh, huu ukahaba hata akina wema hawawez kuufanya

Nasikia wengine wanagongwa hadi kwa 50000
 
Watu wengine kweli hawanaga akili anaenda driving wakati hata gari hana na hana mpango wakupata

Magari sio tatizo akina chief kiumbe wapo kwa ajili ya kuwapa magar buree, mbona ndomo alipewa??

na wasanii wengi wanaendeshaga magar ya watu, mpaka sasa ivi sidhan kama uwoya,wema,lulu,kajala hemedy na wasanii wengine walishawah kununua magar yao binafs kwa pesa zao, hii ndo bongo, we jifunze kuendesha gar tu, magar yapo na watoaj wapo wanawasubir wadau tu, wolper nasikia prado yake alinunua kwa mkopo
 
He hata ada ya udereva hana???

Hatari...

Watu wanawataman sana wasanii wawapo kwenye videos waki shine, ila maisha yao halisi ni aibu na kinyaa tupu, wanaishi kwa nguvu za wanaume wenye pesa zao , sanaa inawap pesa ya kubadilisha nguo tu pale kwa robby one
 
Watu wanawataman sana wasanii wawapo kwenye videos waki shine, ila maisha yao halisi ni aibu na kinyaa tupu, wanaishi kwa nguvu za wanaume wenye pesa zao , sanaa inawap pesa ya kubadilisha nguo tu pale kwa robby one

Yaani nimeshangaa binamu
 
Naja hupesi honey nawashangaa hao wauza sura kumbe hata hela za simu hawana watu tunamiliki mikoko na kusomesha ndugu

Umeona eeeh...tatizo ni show off na mashindano ndio vinawatesa
 

Nasikia chief akishagugonga anakunyang'anya
 

Ma-star wa bongo duh sisi wa mikoani tukiwaonaga tunajua sanaa inawalipa kumbe hakuna
....warumi shikamoo
 
Umeona eeeh...tatizo ni show off na mashindano ndio vinawatesa

Ndo ivo binamu, kama na wewe hujui ku drive ndo ujifunze kabisa, maana magar yapo ya kumwaga, maana kuna mwarabu kule upanga anamilik yard ya magar, watu wanajifaidia tu magar, kama unamtaka namba yake ni 068698__85 hiiii aya sasa kaz kwako
 
Umeona eeeh...tatizo ni show off na mashindano ndio vinawatesa

Ndo ivo binamu, kama na wewe hujui ku drive ndo ujifunze kabisa, maana magar yapo ya kumwaga, maana kuna mwarabu kule upanga anamilik yard ya magar, watu wanajifaidia tu magar, kama unamtaka namba yake ni 068698__85 aya sasa kaz kwako
 
Ndo ivo binamu, kama na wewe hujui ku drive ndo ujifunze kabisa, maana magar yapo ya kumwaga, maana kuna mwarabu kule upanga anamilik yard ya magar, watu wanajifaidia tu magar, kama unamtaka namba yake ni 068698__85 hiiii aya sasa kaz kwako

We warumi hebu ziache zote bhana....we si unajua nimechoka kupigwa jua..
 
Ndo ivo binamu, kama na wewe hujui ku drive ndo ujifunze kabisa, maana magar yapo ya kumwaga, maana kuna mwarabu kule upanga anamilik yard ya magar, watu wanajifaidia tu magar, kama unamtaka namba yake ni 068698__85 aya sasa kaz kwako

Binamu hebu iachie pleeeeeeaasee....fursa hiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…