Huyu Steve Nyerere ni nani...?

Huyu Steve Nyerere ni nani...?

Huyo Steve nilipoona yuko karibu na lemutuz nikajua tu maisha yake naye ni ya udananda
cf3701df00f4671bec7c2be86ce7154a.jpg
Daa aisee huyo jamaa hapo pembeni ni wa sayari gani maana hilo shati sio la mchezo mchezo.
 
Hii post nimeiona kabla sijafungua huu uzi nilishamjua mhusika wa shati,nimefungua kumbe ndiye kweli.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha haaaaa le shati la kufunika vitz
 
Nikiangalia Steve nyerere kipaji chake anavyomuigiza Mwalim Julias Kambarage Nyerere ni wazi kwamba ana kipaji cha kipekee. Erick omondi alivyomuigiza rais Magufuli amejitahidi lakini hakumpatia sana.
Marehemu Kanumba na Rey walitambua kipaji cha Steve Nyerere wakaamua kutuletea kipaji hiki ndani ya bongomuvi.
Aongeze juhudi na ubunifu zaidi katika kazi zake atafika mbali.
 
Ni muda mrefu nimekuwa nikimsikia akijinasibu kama mchekeshaji maarufu hapa nchini, na kwa kuwa mimi siyo mfuatiliaji wa movie za kibongo pamoja na hao wanaojiita wachekeshaji hata sikuwahi kumfuatilia zaidi ya kupishana naye kwenye kumbi za starehe.

Lakini hivi karibuni nimeona clip moja akimponda Eric Omondi mchekeshaji wa Kenya kwamba hana jipya na kudai Watanzania ni wajinga kumshabikia!

Binafsi mimi siyo na sikuwahi kuwa mshabiki wa Eric Omondi zaidi tu huwa namsikia kwa watu walionizunguka wakisimulia habari zake.

Kauli ya kudai kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kumshabikia Eric Omondi ilinishtua kidogo nikalazimika Kumtafuta Eric Omondi kwenye Youtube na Huyu kijana wetu Steve Nyerere.

Ukweli ni kwamba nilichokiona ni sawa na Mbingu na Ardhi, yaani Steve akiwekwa jukwaa moja na Eric hamfikii hata kwa theluthi.

Huyu Mkenya yuko vizuri kwa utafiti na uchekashaji wake unaeliamisha na pia lugha inambeba kiasi kwamba anaweza kwenda hata nje ya nchi kushindana na magwiji wa Comedy kama alivyotoka huyu kijana wa Africa Kusini anayeitwa Noah Trevor.

Ukiangalia vichekesho vya huyu kijana wetu aliyedai Watanzania ni wajinga, anachofanya yeye ni mipasho na si vichekesho kama anavyodai lakini kingine ni lugha ya kiingereza inampiga chenga kwa sababu ya kukimbia shule kwa kutaka umaarufu.

Wasichokijua wasanii wengi hapa nchini hususan comedian ni kwamba ili kujenga soko kimataifa lugha ya kiingereza ni muhimu kwani ndiyo lugha pekee itakayokuwezesha kufika mbali.

Kilichombeba Steve ni Magazeti ya Udaku na yeye kuvimba kichwa na kusahau kwamba elimu ni muhimu kwa fani anayotaka kuifanya. Lakini hajachelewa anaweza kujiunga pale British Council ili kujifunza kiingereza na mbinu mbalimbali za kuzungumza kwenye hadhira.


Hebu tuwaone hawa watu watatu yaani Eric Omondi, Steve Nyerere na huyu Noah Trevor ili muone tofauti ilipo.....









Kumbe na yeye anafanya stand up comedy dah njaa mbaya sana aisee... ata kuigiza tu uwa haelewek sasa uko si ndo tabu.. pia sisi wabongo ukiweza hiki unataka na kile kiwe chako hata kama uwezi kuwa nacho hata pilipili uwa nae kavamia fani hana ubunifu kabisa
 
Tena ni mpumbavu!anachafua jina la baba Wa taifa!!!mbwa kachoka la LUMUMBA
 
Steve nyerere anaweza kumchekesha mtu anayependa kuchekacheka ovyo, Erick anamchekesha mtu anayependa kucheka na anajuajua mambo,.Trevor anaweza kumchekesha mtu asiyependa kucheka ila ni mjuzi wa mambo.
 
Huyu ana umaarufu gani kumshinda Eric Omondi?

Anajipa kick za kijinga tu.
 
Huyo Steve sanaa haiwezi afadhali kidooogo na kwa mbaaali Mc Pilipili.
 
steve ni mjinga mjinga flani hiv kazi yake inasemekana ni ukuwadi
 
Back
Top Bottom