Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanachama wa kawaida ila ana ushawishi wa pesa huko mboga mbogaAna nafasi gani kwenye Chama?
AU Mkuu britanicca Ulivyokuwa unasema ni successor wa ubunge kwenye kile Kisiwa?
Wewe ndio hujamuelewa kwenye point ya saa8 yupo mkutanoni Dom na saa 10 yupo Dar uwanjani. Kwa matajiri ni karibu,ila kwa masikini ndio Kuna umbali. Tajiri anapanda ndege chap,masikini ajipange na special hire za bei cheap.Hujielewi umekurupuka nimeuliza ana nafasi/cheo gani ndani ya Chama?
Cheo na nafasi ndani ya Chama ni ipi?Wewe ndio hujamuelewa kwenye point ya saa8 yupo mkutanoni Dom na saa 10 yupo Dar uwanjani. Kwa matajiri ni karibu,ila kwa masikini ndio Kuna umbali. Tajiri anapanda ndege chap,masikini ajipange na special hire za bei cheap.
Wewe umemsikia mwenezi makala akiwatambulisha afu unakuja kuuliza huku.Hujielewi umekurupuka nimeuliza ana nafasi/cheo gani ndani ya Chama?
Hujui Dom-Dar ni saa 1 kwa ndege?Ni Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
Hujui kuwa huwezi kupata pesa chafu kama sio mwana ccm?Ni Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
Majibu tafadhali ndugu wafurukutwa na wakereketwa wa ccm mlio kopiwa.Ni Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
Gentleman hao ni miongoni mwa wageni waalikwa kama alivyo bozi boziana, viongozi wa dini, mabalozi, wawakilisha wa vyama marafiki wa nje na ndani ya nchi n.k.Ni Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
Hawa wanajipachika kwenye Chama Ili waibe Vizuri..Huwa wanakwepa Kodi saaana hawa,,mfano Ni Manji ,,alijipachika kwenye Chama Ili aendelee kunyonya Nchi Yetu.Tuwakatae Matajiri wajanja wajanja.wapo Hapo kimaslai tuu
alikuwa mgeni mualikwa na kuhusu usafiri ni fedha zakeNi Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist