Huyu uliye nae sasa ni wangapi tangu umeanza?

Huyu uliye nae sasa ni wangapi tangu umeanza?

sina idadi kamili.....nilie nae kwa sasa ndio ameshika chati....kawafunika wote....
 
kuna jamaa yangu yeye alisema wanajaa dar express mbili..back to me,je wale wa kudumu au one night stand? nasubiri majibu kwanza...:ranger:

:biggrin1: ni kweli maana Ki mahusiano unaweza ukawa na wawili lakini one night stand wakawa zaidi ya 20 na wengine hata hukumbuki
 
Mim kuna mwaka nilikuwa mbeya nikaandika kwenye ki-note ikafika..67!!hapo ni mwaka 1992.........mpaka leo!!unganisha DOT utajua idadi yangu!!

67 ....1992 hahahah

2012.....?(..........) duh unaweza kuwa used sasa
 
mie,,,nikiacha unafiki,,,,sikumbuki,,ila naweza kujaa kaunta mbili na ushee,,,huwa navuta kumbukumbu kuanzia kijijini,,,,miji,,majiji shulen ,,,vyuon,,,,kazin,,,,,one night,,,goal,,wenye mbio za mwenge,,umiseta,,,umishumta,,,,,misiba xmass saka,,mwaka mpya,,,,ubarikio,komunio,,,idd kubwa ndogo ,,madrasa,,,maulid graduation,,,kote ni ku do tu,,,orodha ni ndefu,,,
mweeee
 
zis iz soo funny aiseee....lols

yani kadri siku zinavyoenda mbele na idadi inaongezeka..........
 
Dah! Wew ni noma mkuu! Ngoja na mimi nikumbuke vile...
Il usisahau weka categories;
  • Mabinti/vijana wa watu baki.
  • Mabinti/vijana ambao mna undugu.
  • Wake/wame za watu.
  • Kaka/dada wa mabeste.
  • House girl/boy.
  • Mwalimu.
  • Bosi kazini etc
 
  • Thanks
Reactions: SG8
I keep my records. Tangia nianze, wanafika mia mbili. Tangia nioe wanafika ishirini, mke wangu akiwemo. Ndoa ni njia tu ya kupata mtu wa kuzaa nae na kulea watoto, na pia kufurahisha wazazi, vinginevyo sio kigezo cha kuacha kutembea huko nje. Anaepinga hili afafanue.
 
Mhhh mbona hapa ni habari nyingine aise
Kukumbuka ni noma maana wako wale wa one night stand wale mnaokutana msibani, au kwenye safari, chuoni, shuleni, sherehe za harusi na ubarikio na communio na kipaimara,
Mhhh orodha ni ndefu
. Bado hujapita mitaa ya Shivaz!!! Dah jamaa katuuliza swali tata sana!
 
Il usisahau weka categories;
  • Mabinti/vijana wa watu baki.
  • Mabinti/vijana ambao mna undugu.
  • Wake/wame za watu.
  • Kaka/dada wa mabeste.
  • House girl/boy.
  • Mwalimu.
  • Bosi kazini etc

dah! sasa kama ndo hivi ni countless mkuu...:noidea:
 
Wapenzi wanaJF,
BINADAM tunapitia nyakati tofauti sana za mahusiano na kwasababu tunatumia sana hisia kwenye mahusisano yetu tumekuwa tunashindwa kudumu nayo kwa muda mrefu. Mpaka sasa ulipofikia ni wangapi umekuwa nao na wangapi mmeachana na unakumbuka ni kwa nini mliachana? FUNGENI JAMANI NA USHAURI PIA TUPEANE.

Anza kwanza wewe...
 
Hii ni kwa wale wa zamani tu au tunaweza kuweka pia walio kwenye waiting list................
 
Mim kuna mwaka nilikuwa mbeya nikaandika kwenye ki-note ikafika..67!!hapo ni mwaka 1992.........mpaka leo!!unganisha DOT utajua idadi yangu!!

Mkuu tuna experience sawa kwenye hili though we umenizidi kidogo kiidadi.Mimi nakumbuka mwaka 1996 nikiwa na miaka 20 nilishakula vichwa 47 there after sijswahi kumeneji kuipata namba sahihi so naamiini ni mamia kadhaa without wale wa 1 nyt stand kipindi hicho naishi Afrikasana.
 
Mhhh mbona hapa ni habari nyingine aise
Kukumbuka ni noma maana wako wale wa one night stand wale mnaokutana msibani, au kwenye safari, chuoni, shuleni, sherehe za harusi na ubarikio na communio na kipaimara,
Mhhh orodha ni ndefu
Mr Rocky mzima wewe ........usisahau washa ,makongamano na semina loooo
 
Last edited by a moderator:
Du hii imenipa changamoto... kiukweli kumbukumbu zimegoma yaani kila nikifika mwisho nakumbuka mwingine tena duh.
 
Mr Rocky mzima wewe ........usisahau washa ,makongamano na semina loooo
Blaki Womani mzima sana dear
Ndo hapo anatukumbusha mengi hajui kuanzia kombolela, kibaba na mama, ukwata na tycs na graduation na semina na kongamano na warsha na mkutano wa injili na wa siasa, mbio za mwenge, umiseta, umitashumta, ahhhh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom