Huyu wa kuitwa Kanungila karimu shenz wahedi kabisa

Huyu wa kuitwa Kanungila karimu shenz wahedi kabisa

Mmh! labda owe ni mtu mmoja lkn I'd mingi mingi!
Ila Karim na Ndege Jioni mbona wako sawa ila wanatokelezea maeneo tofauti... ...
Udhaifu sote tunao...
wengine wanapenda sifa..wengine umaarufu..wengine ni kawaida...wengine kama wametumwa vile ...nk nk
Bila kusahau wajuaji na ambiliki!
 
Mbona wengine post zao huwa "first to reply" tu. Kama hilo neno linakukumbusha mbali tafadhali vumilia tu, kwenye wengi kuna mengi.
 
Mkuu,nimevipenda sana vidole vyako vinafaa sana kushikia mic then unafoka...mbona mwili hauna uhusiano na mguu wako,nilikipenda pia kikuku chako!
Miguu ni ya MTU mwingne na sura ni MTU mwingne wazee wa kusaminisha avatar kazi kwenu!!
 
Naunga mkono hojaa.......
hebu tuachane na habari za kina kanugila tuzungumzie huo uzur ulio jaaliwa na mnyaaz Mung hapo kifuani..
IMG_20181106_151349_973.JPG

fanya kuni pm tuone namna ya kufanya ...
 
JUZI NIMEKOMENT WAMENIPIGA BAN BILA SABABU NGOJA NIWE MSOMAJI TU UKU NIKIENDELEA KUPIGA CAMPING ZA CHAPUTA GENERAL ELECTION
 
Jamaa ovyo sana hadithi yake ya KISIWA CHA HALISHI impish kama movie za kanumba na ray
Kweli jf imekuwa dampo la machizi,wajinga na wapenda sifa.huyu jamaa yupo active muda wote lakini michango yake miyeyusho.comment yake moja tu eti "Asante kwa taarifa" acha kutuletea ujinga wa Facebook humu ndani mdogo wangu.View attachment 923324
 
Back
Top Bottom