Huzuni ya Shunie

Huzuni ya Shunie

platozoom

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
9,424
Reaction score
11,320
Kwa nini upate huzuni
Mahbuba nipo kukufuta machozi
Napata taarifa kwa Watu baki kuwa leo una huzuni kuu! Nini kisababishi? Kama ni mahasidi nipo radhi kupambana nao.

Najua nipo mbali sana na upeo na macho yako lakini naamini moyo wangu kama mvua za vuli, zinaweza kunyesha Lusaka lakini zikaendelea mpaka Daslam!

Pole kwa kila linalokusibu japo sijapata taarifa mujarabu lakini nahisi huzuni yako. Naihisi huzuni yako imepitiliza kuliko vidole khamsa.

Ndimi wako Platozoom

Wakatabahu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini upate huzuni
Mahbuba nipo kukufuta machozi
Napata taarifa kwa Watu baki kuwa leo una huzuni kuu! Nini kisababishi? Kama ni mahasidi nipo radhi kupambana nao.

Najua nipo mbali sana na upeo na macho yako lakini naamini moyo wangu kama mvua za vuli, zinaweza kunyesha Lusaka lakini zikaendelea mpaka Daslam!

Pole kwa kila linalokusibu japo sijapata taarifa mujarabu lakini nahisi huzuni yako. Naihisi huzuni yako imepitiliza kuliko vidole khamsa.

Ndimi wako Platozoom

Wakatabahu

Sent using Jamii Forums mobile app
We mzee niacheee na huzuni yangu
 
Back
Top Bottom