Huzuni ya Shunie

Huzuni ya Shunie

Jamani sema kweli we mzee hivi umeanza lini lakini
Siku nyingi sana.
Tatizo napata wakati mgumu sana, unamkumbuka yule jamaa wa Congo alikuwa anasema anapenda waliojazia nyama, ghafla alivyoona figa yako akabadili mawazo. Huu ni zaidi ya uchawi jamani!

By the way mimi sasa hivi ni dalali wa de le boss pafume. Ofisi ni Magomeni Kagera!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha
Siku nyingi sana.
Tatizo napata wakati mgumu sana, unamkumbuka yule jamaa wa Congo alikuwa anasema anapenda waliojazia nyama, ghafla alivyoona figa yako akabadili mawazo. Huu ni zaidi ya uchawi jamani!

By the way mimi sasa hivi ni dalali ya de lo boss pafume. Ofisi ni Magomeni Kagera!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nyingi sana.
Tatizo napata wakati mgumu sana, unamkumbuka yule jamaa wa Congo alikuwa anasema anapenda waliojazia nyama, ghafla alivyoona figa yako akabadili mawazo. Huu ni zaidi ya uchawi jamani!

By the way mimi sasa hivi ni dalali wa de le boss pafume. Ofisi ni Magomeni Kagera!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhah mzee wa Congo alibadili gear angani mtu chake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom